uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Mashoga mnapenda vitu vitam vitam
Punguza sukari acha ushoga utajiharishia
Punguza sukari acha ushoga utajiharishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila naona ukweni kwako Itafaa zaidi kuwaongezea maarifaHata ukipeleka primary school uliyosoma sawa tu
Una mawazo ya kichawi kama jina lako lilivo. Amka sasa wafanye usafi hapo seblen Kwa shemeji yako. Au unahofu Wi-fi itakata ?Ila naona ukweni kwako Itafaa zaidi kuwaongezea maarifa
Mkuu ebu tupe uzoefu 😆😆🤣
Mkuu zote hata pepsi..Hi 👋
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Ukwen kwenu itapendeza zaidi tukuze uwelewa kidogoHata ukipeleka primary school uliyosoma sawa tu
HapanaUmejaribu kupima malaria?
Jaribu mirindaMkuu zote hata pepsi..
Yaani zimekuwa za hovyo mno ladha hadi harufu. Zina kaharufu flani kabaya sana.
Now niko na 7up au sprite basi.
Wamepunguza kiasi kikubwa cha Cokein kwenye Cola! Kumbe Watanzania wengi mnapenda kubembea Kama mateja kila saa mnataka msisimko!![emoji1]Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. [emoji6]
Speaking from the experience!!Umeujuaje [emoji1787]
Nasubiria uniletee chai dada wakazi kwani ujapika?Una mawazo ya kichawi kama jina lako lilivo. Amka sasa wafanye usafi hapo seblen Kwa shemeji yako. Au unahofu Wi-fi itakata ?
Marehemu Mengi ana hujumiwa kampuni yake ambayo alipokua Hai it was among the best,why now!!??Mimi pia now nimehamia peps
Nyny ndio mlitakiwa muuzwe pamoja na Bandar ili kupunguza uzito kwenye server za jfNasubiria uniletee chai dada wakazi kwani ujapika?
Bas yupo vzr akifa anakufa vzrSpeaking from the experience!!
Sio wewe tukuue kwaza unekunywa chai wapi mgahawani au hotel?Nyny ndio mlitakiwa muuzwe pamoja na Bandar ili kupunguza uzito kwenye server za jf
Si wameshndwa kuendeshaMarehemu Mengi ana hujumiwa kampuni yake ambayo alipokua Hai it was among the best,why now!!??
Hahahaha [emoji1787] ngoja nicheke tu sasaSio wewe tukuue kwaza unekunywa chai wapi mgahawani au hotel?
Embu fanya kazi shemeji zako tunakutegemea ada ujalipa ujue 😂😂😂Hahahaha [emoji1787] ngoja nicheke tu sasa