Kuna siku kamnunulia mwanae kiatu 80k...mtoto wa miaka mi3..hahahhahaHela yake halaf unamwambia ni kiazi? [emoji848]. Heee
Mambo ya fweza hayo 💵Kuna siku kamnunulia mwanae kiatu 80k...mtoto wa miaka mi3..hahahhaha
Nkamwambia sista ukiwa unaenda kwenye ma shop.usiniite unantia uchungu..akabak anacheka tu..anasema yeye kkoo panamchanganya na anaona vtu vyote vya kichina.hahaha
Kariakoo, Mwenge, Karume. Haya bana tusubiri ripoti kutoka tume ya uchunguzi halafu maisha mengine yaendelee.
Acha tuMambo ya fweza hayo [emoji385]
Na mkome!Samia has no touch with citizens who earn little money in this country. Likewise mafisadi wengi huwa hawana uchungu na watu wa Chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna kitu kama iki, watawala wa Tanzania hawahitaji kuchoma masoko etc ilikuchota fedha wanayoitaka.Bujibuji umeona MBALI.
Hawa wakubwa wanaohamasishana mbuzi kula kwa urefu wa kamba,hata Mimi siwaamini!
Naona Karume na Kariakoo washapelekewa moto!Tuweke list hapa ambako machinga hawataki kuhama wajiandae kwa moto
1.Manzese
2. ...
3...
Hahahahah walisema ni dhalimu fisadi bora kafa! Sasa wacha nchi ifunguliwe kwa wezi na matokeo ni chap chapNa mkome!
Si anafungua nchi? Si mnapumua nyie?
Yule mlisema ni dhalimu na muuaji! Pumueni vizuri sasa
Ndio fire waambiwe wasiingilie moto usiwahusu?Muda mwingine sio serikali. Eneo hilo linamateja wengi sana na vijana wanaotumia madawa. Unaweza kukuta wamegombana na mtu sokoni wakasema unajifanya mjanja unaringia vihela vya sokoni humo, subiri niwashe moto uone utajidaia wapi. Sio kila jambo tuingize siasa.
Yupi bora? Aliyechoma vifaranga au mali za watu sokoni?.........Tuna viongozi katili sana
Malengo ni kufungua nchi
Sasa mliopo si muitengeneze mzee yani Leo mfano unaweza mlaumu nyerere kweli? [emoji23][emoji23] Tulio hai turekebishe basi tuoneWw ndio umepotea KABISA na hamjitambui.. mnamsifia tu JPM kila siku.. si mkamfufue sasa?? Mtu aliharibu sana hii nchi na inaendelea kuharibika sababu yake..
hauachi kumwingiza magufuli kwa kila baya ulionalo unakazi sana wewe mwanamke maana ungelikuwa mwanaume ungekuwa ulishaacha kipindi amefalikitu huyo magufuli.Mumlaumu JPM kwa kumweka mama kuwa makamu wa rais na Rais Mtarajiwa. Kama mlimheshimu JPM.. Mheshimuni na Mama pia. Ni chaguo la kipenzi chenu JPM. Kaeni kimya kabisa sababu hapa tulipo ni MAKOSA YA JPM tokea awali.. kila kitu cha nchi hii KILICHOVURUGIKA NA KINACHOVURUGIKA NI SABABU YA JPM aka Mwendazake
utasubiri sana kwa waTZ!Upuuzi wetu wtzednia, yaani tunaona kabisa srkl hii iko kwa ajili ya matumbo yao, lakini bado tunawachekea, Acha kila mmoja aguswe ndipo sasa tuamke.
Ndiko kwenye vijana wahanga wengi wa utawala wa ccm,au ulitaka wakuu wa wilaya na wakurugenzi na mapolisi nao waandamane?Sasa kama ni jukumu la kila mmoja mbona inaonekana hao wamachinga ndio wanaopaswa kuandama kuliko wengine?
Ndio fire waambiwe wasiingilie moto usiwahusu?