Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Kuna siku kamnunulia mwanae kiatu 80k...mtoto wa miaka mi3..hahahhahaHela yake halaf unamwambia ni kiazi? [emoji848]. Heee
Nkamwambia sista ukiwa unaenda kwenye ma shop.usiniite unantia uchungu..akabak anacheka tu..anasema yeye kkoo panamchanganya na anaona vtu vyote vya kichina.hahaha