Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Mumlaumu JPM kwa kumweka mama kuwa makamu wa rais na Rais Mtarajiwa. Kama mlimheshimu JPM.. Mheshimuni na Mama pia. Ni chaguo la kipenzi chenu JPM. Kaeni kimya kabisa sababu hapa tulipo ni MAKOSA YA JPM tokea awali.. kila kitu cha nchi hii KILICHOVURUGIKA NA KINACHOVURUGIKA NI SABABU YA JPM aka Mwendazake
Hata wewe unaweza mchagua mtu na akakusaliti think wisely.
 
Haya Matukio yaendelee, yaongezeke, yazidi kuwa Mengi, yasiache kutokea, Hadi pale Watanzania Akili Zitakapo Funguka na Kudai Katiba Mpya Kwa Nguvu.

Kitu ambacho bado hatujakijua Watanzania Ni Kuwa, Viongozi Wetu wana DHARAU SANAA wananchi wake Hilo lipo wazi Kabisa Kabisa, tena Ni Dharau Iliyopitiliza. Haya matukio sio Mapya nchi kwetu lakini hakuna hata Siku 1 ilitoka Report Ya Tukio la Moto watu wakawajibishwa kwa namna Yoyote ile kama Sio Dharau ni Nini? Yaani Viongozi wetu wanaweza kujua Ugaidi wa Kutaka Kulipua Vituo Vya Mafuta Bila Vipulizi lakini wanashindwa kujua Chanjo za Moto na nani Muhusika?

Mpaka siku, Ikulu iwake moto, Bunge liwake moto.

Wale machinga wote walio lazimishwa kuhamia pale Wamepata Hasara tena hii January [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] watoto wakiwa Wamefaulu kwa kishindo.
Sina la kuongeza umenyoosha kama rula
 
Huu Moto umesetiwa Kia's kwamba Ni ngumu kuuzima

Mazingira ya karume Ni rahisi Sana kuzima Moto tofaut na k'koo au pengine.

Bila shaka
Ilishamwagwa petroli kuzunguka soko lote,Moto unazunguka afu unakutana katikati.

Hapo huokoi chochote
Hao wanaotumwa kuchoma moto huwa hawana ndugu sehemu kama hizo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tred ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.
View attachment 2083158
Binafsi nahisi haya masoko yanachomwa makusudi ili kuyajenga ya kusasa.. Embu fikiria masoko haya.. Soko kuu Songea, Soko la Mwanjelwa Mbeya, soko la Moshi, Soko la Mwanza... etc
 
Watu mnapenda kukurupuka! Wapi nimeandika masikini alikuwa na Raha au karaha? Hujui kusoma? Nimeandika nilichoandika kutokuelewa kwako hainihusu.
"Zama hizi ni kuwakomesha msikini" zama zipi ziliwapenda masikini?
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
Mwenye Cv ya elimu ya Amosi anitumie inbox
 
Muda mwingine sio serikali. Eneo hilo linamateja wengi sana na vijana wanaotumia madawa. Unaweza kukuta wamegombana na mtu sokoni wakasema unajifanya mjanja unaringia vihela vya sokoni humo, subiri niwashe moto uone utajidaia wapi. Sio kila jambo tuingize siasa.
 
Wa kwanza kabisa anaehusika na hili ni hao hao vijana wafanyabiashara wa Karume kwa kuruhusu CCM kushika dola.

Waliochomewa soko ndiyo wanaopaswa kulaumiwa wa kwanza kwa kuruhusu nyoka kuchukua nchi.

Ukweli mchungu ni kwamba Wamef*rwa na serikali ya CCM.CCM wakati wa kampeni wanawaomba kura halafu wakishashika dola wanawaf*ra!

Hii nchi hakuna kitakachobadilika ni mpaka pale CCM watakapowekwa pembeni.
Kumbe ccm huwa inashinda kwa sanduka la kura?
 
Back
Top Bottom