Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Inasikitisha sana kuna watu wametoka kkoo wajishikize hapo na hapo kumeungua tena afu ukute alikopa so sad[emoji174][emoji174][emoji174]
 
Mkuu. Mimi natafakari sana...wafuasi wa JPM ambao mnaona alikuwa mfalme au muungu wa hapa duniani ndio Mna akili za ajabu sana. Hamuoni maovu yake na makosa yake. Lakini ndio watu walivyo.. na ndio maana wengine wnafanikiwa kwenye maisha na wengije HAWAFANIKIWI. Sababu ni mnakosa thinking capacity nzuri.. Endeleeni tu na fikra zenu izo
We Jamaa unakeraa!
Issue inayoongelewa hapa ni moto,wewe unaibuka na Magufuli kwani Yeye ndo kautuma huo moto??
Hivi ni Lini atatoka midomoni kwenu?? Hakuna Mwanadamu alie perfect,hata wewe una mabaya YAKO mengi sana!! Kama alikuumiza,mfate huko huko kaburini ukamueleze!!! Mwanaume rijali alie timamu na Akili zake hana malalamishi ya kulia lia na mambo yaliyopita.
Niangalie😏
 
Mumlaumu JPM kwa kumweka mama kuwa makamu wa rais na Rais Mtarajiwa. Kama mlimheshimu JPM.. Mheshimuni na Mama pia. Ni chaguo la kipenzi chenu JPM. Kaeni kimya kabisa sababu hapa tulipo ni MAKOSA YA JPM tokea awali.. kila kitu cha nchi hii KILICHOVURUGIKA NA KINACHOVURUGIKA NI SABABU YA JPM aka Mwendazake
Wewe inaonekana mpenda kulalamika sana hata ukivimbiwa zako utamlaumu Jpm
 
Watu wengi Tanzania huwa wanajiandikia tu namba lkn hawajui maana yake in real life, unaelewa maana 400 Million USD ? Unaelewa kwanza hata 100 000 USD inamaanisha nini ?
Asante Mkuu, mwenyewe nilishtuka mno maana hiyo figure aliyotaja inachezea kwenye Trillion Tshs.
 
Vitendo kama vipi?

Ukiandamana utadumbukizwa kwenye tank la maji washawasha

Kuchoma moto ofisi za umma?

Kuingia msituni?

Kupiga mawe msafara wa viongozi?

Kufanya vitendo vya kigaidi?
Vyote kwa pamoja. Wewe unadhani tukiamua kwa pamoja polisi wataweza? Nchi bado wananchi tukiamua jambo tunaweza. Sema ndio hivyo... hao wenye mamlaka hata laki moja hawafiki...wananchi tupo zaidi ya milioni 50.
Kwanini hawa viongozi wanatupeleka peleka hovyo?
 
Mbona hata la Kariakoo liliungua? Sema Makala ana mkosi na kuungua kwa Masoko kila anapopelekwa
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158

[emoji19]
 
kuna uzi niliandika hapa mood aliufuta. na kuna watu wakakejeli au kuona kama na sanifu.

sehemu iliyo ni soko ukiona mnabisha kutoka au kupangiwa sehemu nyengine!.
ndugu chukua chako kabla ujala hasara.

na waeleza kama mnavoona maisha ya kila siku mfano nyuma ya pazia
Ka-Gugu
 
Mkuu hizo hela ni nyingi mno.
Inasikitisha Sana mkuu hela zote hizo wachache kuiba. Ndio maana miradi ya matrillion ya miradi waliyoanzisha imesuasua hata robo haijafika kwasabab ya ukwapuaji wa hatarii ya aina yake kuwahi kutokea.

Afadhali wangejenga barabara ya lane nane nne nne kila upande kutoka Sanya juu hadi Longido na kujenga satellite City Longido na sanya juu.
 
Back
Top Bottom