Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

"TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu".

Mleta mada nimekuelewa mno mno kwa hayo maneno yako niliyoweka katika quoate. Mungu ndiye hakimu mtoa adhabu stahiki.
 
Miaka na miaka hayo masoko yapo hapo hayajawahi kuungua, yanakuja kuungua leo na mudus operand yao ni ile ile, kuunguza usiku watu wakiwa hawapo ili wakiamka asubuhi wakute kila kitu kimeteketea.

Watu hawana uchungu wala hata moyo wa kujali kwamba wafanyabiashara wa pale mitaji yao ni midogo sana, bado unawachomea vitu vyao vyote. Waende kula wapi?
Mkuu hii ni awamu ya wanyonge kutubu😂 zamu ya matajiri na mafisadi kuwahenyesha maskini!

Sasa mtachagua kama muendelee nae au mchague mwengine ~ Job Ndugai
 
Moto wa mchongo 😂😂😂 aliskika mnyonge mmoja
Inaumiza sana ila kama kuna mtu anahusika na hili Mungu ampe mwisho mbaya afee kifoo kibaya maana hajui watu wanaumiza sana vichwa kukuza vimtaji vyao na kama nitasikia serikali inataka kumpa mwekezaji ndo tutajua kumbe ni moto wa mchongo
 
Halafu wiki hii ndiyo shule zinafunguliwa. Kuna Mali nyingi Sana. Tena kuna zile zinaitwa mbegu zikikusanywa baada ya muhula wa shule kuhitimishwa na kuja kuuzwa mhula mpya ukianza. Yaani mabeji kama yote brand, viatu, nguo za shule n.k.. . Kama kuna hujuma Mungu wapige upanga wa Moto wote waliohusika.. . Kifupi Machinga complex hakufai kabisa kuwa a business centre. Ni kuchafu, ujenzi wa hovyo. Yaani hakuna hadhi ya kumpeleka mnunuzi Kule.
 
Wewe kwa akili yako unafikiri mtu alieajiriwa serikali ofisini ataandamana!?

Ata ivyo kuandamana ni kujitolea muda na wala sio kukosa shughuli ya kufanya,ni jukumu la kila mmoja kwa ukombozi kamili vinginevyo kila siku majanga ya kila aina yanaongezeka
Sasa kama ni jukumu la kila mmoja mbona inaonekana hao wamachinga ndio wanaopaswa kuandama kuliko wengine?
 
Naomba nikuulize CCM imevunja katiba kuwabakiza wabunge walifukuzwa CHADEMA. Mbona hamna hatua yoyote iliyochukuliwa? Mimi nimekuwa nikidai katiba mpya muda mrefu lakini nimegundua kuna tatizo kubwa sana kwetu, tunaogopa kudai haki zetu. Katiba ni maandishi tu, ni jukumu letu kuhakikisha inatekelezwa. Tunataka maandishi lakini tunaogopa kutekeleza.
Ni maandishi tu ila hayapatikani bila kula kipigo cha polis ccm😅😅😅 lazma mpambane na kipigo mpaka umoja wa mataifa uingilie kati ndio mpewe hio katiba😅!

Hamna ambaye hajui kuwa katiba ni haki ila tunatambuwa uwepo wa kipigo cha polisi form 4 failure hiko ndio wananchi hawakitaki ndio maana wanavumilia kama makondoo
 
Ww ndio umepotea KABISA na hamjitambui.. mnamsifia tu JPM kila siku.. si mkamfufue sasa?? Mtu aliharibu sana hii nchi na inaendelea kuharibika sababu yake..
Aliharubu nchi kimpango gani? Hebu acha ushamba bana wewe! Huyu mama alichofanya cha maana kipi mpaka sasa kama sio kuhenyesha maskini tu? Au sababu hamdu shaka ami yako kapewa uwenezi?
 
Utawala dhalimu una halalisha uhalifu, dhuluma, wizi, rushwa na ufisadi
Safi sana mama anaupiga mwingi mno! Kazi iendelee tukitoka hapo tuhamie la Ilala Boma pale napo tuwaunguzie!

Wamachinga wanachafua sasa jiji watalii wanaona uchafu umezidi, waende kitunda huko au chamazi wakauze bidhaa zao!

Magufuli yeye alikuwa anatetea wanyonge ni fala tu kama ambavyo tulimsindikiza na vibwagizo hivyo mwezi march mpaka septemba😅 wacha twende na mama!
 
Wewe kinachokuburuza ni elimu huna juu ya masuala haya.Ukisoma political sayansi, laws za siasa zinasema kuwa hakuna jeshi wala kifaru wala mabomu ya nyuklia ambayo yanaweza kuishinda nguvu ya wananchi.

Na law hii inathibitishwa kwa kuangalia mapinduzi ambayo yaliletwa na wananchi kwa kupindua serikali za kidikteta ambazo zilikuwa katili sana kwa wananchi wao.

Tawala za zamani za nchi kama Urusi,Iran china na kadhalika zilikuwa na silaha na ukatili wa kila aina lakini wananchi walizipindua.

Kwenye dunia ya sasa unaweza kuangalia mifano kutoka kwenye nchi kama vile Misri,Tunisia na kadhalika.

Ukiona nchi fulani kama Tanzania wananchi wake wanagandamizwa na tawala katili jua ni uzembe wa hao wananchi wala siyo jeshi au slaha au polisi.

Hakuna nguvu ya watawala ambayo inaweza kuishinda nguvu ya uma na hili linathibitishwa kwa historia kuonyesha kuwa tawala zote katili duniani zilipinduliwa na wananchi.
Tatizo unaongea hivyo halafu usikute upo nje ya nchi huko au yakipangwa hata maandamano tu wewe unaishia humu JF kuangalia itakuaje huingii road halafu unawaita wenzako huku wajinga.
 
Safi sana mama anaupiga mwingi mno! Kazi iendelee tukitoka hapo tuhamie la Ilala Boma pale napo tuwaunguzie!

Wamachinga wanachafua sasa jiji watalii wanaona uchafu umezidi, waende kitunda huko au chamazi wakauze bidhaa zao!
Kitunda ndege zikiwa zinatua na watalii, Wamachinga wataonekana. Itafaa wamachinga wote nchini wahamishiwe Nkasi Rukwa
 
Back
Top Bottom