Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #181
DuNjuruku ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuNjuruku ni nini?
Usijipe moyo ushazeeka, hatutongozi wazeeIvi unajua wanawake WA Miaka 35 -48 wanatongozwa na wanaume wengi Sana na WA maana kuliko hawa WA Miaka 20 mpaka 30?
Sijui kwanini mnadanganyana huku mtaani
Ya kutufanya ATMYa kipumbavu yapi?.
Sasa Una mkasirikia Nani Kwan tulikwambia uzaliwe Leo?
We tulia na Miaka yako 20Usijipe moyo ushazeeka, hatutongozi wazee
Ya kutufanya ATM
Nina miaka zaidi ya hiyo, mliozeeka kama wewe, kei zenu hazina ladha, zimeliwa na midudu ya kila aina, zimetanuka mno.We tulia na Miaka yako 20
Waachie watu wazima, ndio wanajua maisha Yao
Danganywa huku Chini ili uteseke huku juu kuna rahaa
Sisi wazee tunatongozwa kikubwa maana tumejaaNina miaka zaidi ya hiyo, mliozeeka kama wewe, kei zenu hazina ladha, zimeliwa na midudu ya kila aina, zimetanuka mno.
Tafuta vibinti vya miaka 20's uviulize uone vinavyotongozwa kila mara, lakini mliyozeeka hatuna shida na nyie, endeleeni kulea watoto wenu