Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mnatufanya mitaji yenu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi si biashara unataka faida tena ?Sioni kama. Una faida maana kama Yule dada WA clouds alishindwa Kwa mganga basi hamnaga fyucha
sema bibi sio mwanamkeWe ndio mshamba WA mwisho
Watu wanaoa wanawake Miaka 60
Wanaume tumegundua kuwa kukulana hivyo sio dili...hatuhongi tenaKwani soko la mapenzi limeingia mchanga au limevaa ndondo cup
Siku hizi bwana mpaka umpate mwanaume anakutongoza, nenda kanisani ukatoe sadaka kabisa
Ukipata hata mwanaume anakupeleka kwake ushukuru Mungu
Ukipata mwanaume anakununulia hata maji ya kunywa basi nenda Kwa Yatima Katie sadaka
Wanaume kama hao waliotajwa Kwa sasa NI rare editions
Yani wanawake sahivi tumepaukaa, tunamavumbiiii, tumechoookaaa kuliko hata wanakawa wa zamani
Wakowapi wanaume wa kuwa take care wanawake kizazi hiki?
Hiki kilio cha wanawake kuteseka kitaisha lini?
Alisikika mlevi mmoja kariakoo akiongea kwa uchungu, baada ya saa za kazi, huku machoI na makamasi yakimtoka
Sasa WA kumlaumu Nani?!
1. Vikoba
2. Marejesho
3. Kizazi cha sasa
4. Malika WA nguvu??
Hamna picha Kwa Leo, we tafuta picha yako ya mlevi weka kichwani mwako.
tangu mlivyofukuzwa EDEN ndio kazi yenu mliobakishiwaMnatufanya mitaji yenu....
weeeeeWanawake wa kile hawajui thamani ya uanawake wao
Baadhi hata malezi hawajui
wenzio mpaka wanaimba wewe uansema nini sasaWanaume tumegundua kuwa kukulana hivyo sio dili...hatuhongi tena
Kwani tunaigana?wenzio mpaka wanaimba wewe uansema nini sasa
inategemeaKwani tunaigana?
mapenzi hayana soko yamekua nyanya?
uweeemapenzi hayana soko yamekua nyanya?
Ukiona hivyo ujue umeshazeeka na kuchoka, upo 30+, wanawake wanaotongozwa na kuhudumiwa bado wapo, hatuwezi kuhamgaika na skrepa used, tunataka vibinti vibichi tufaidi utamu wao.Kwani soko la mapenzi limeingia mchanga au limevaa ndondo cup
Siku hizi bwana mpaka umpate mwanaume anakutongoza, nenda kanisani ukatoe sadaka kabisa
Ukipata hata mwanaume anakupeleka kwake ushukuru Mungu
Ukipata mwanaume anakununulia hata maji ya kunywa basi nenda Kwa Yatima Katie sadaka
Wanaume kama hao waliotajwa Kwa sasa NI rare editions
Yani wanawake sahivi tumepaukaa, tunamavumbiiii, tumechoookaaa kuliko hata wanakawa wa zamani
Wakowapi wanaume wa kuwa take care wanawake kizazi hiki?
Hiki kilio cha wanawake kuteseka kitaisha lini?
Alisikika mlevi mmoja kariakoo akiongea kwa uchungu, baada ya saa za kazi, huku machoI na makamasi yakimtoka
Sasa WA kumlaumu Nani?!
1. Vikoba
2. Marejesho
3. Kizazi cha sasa
4. Malika WA nguvu??
Hamna picha Kwa Leo, we tafuta picha yako ya mlevi weka kichwani mwako.
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!
Yaani ana mdomo mdomo mnoKwa mdomo huo, utaendelea kutusaka kwa tochi.
Sasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...
Hao wanawake wa zamani wapo mpaka sasa ni wamama, na teknolojia ya mitandao wanaishihudia, lakini hawana mambo ya kipumbavu kama wanawake wa sasahivi.Wanawake WA zamani wangepata exposure kama wanazopata WA sasa nadhani realistic standard zingekuwa the same don't you think??
Ivi unajua wanawake WA Miaka 35 -48 wanatongozwa na wanaume wengi Sana na WA maana kuliko hawa WA Miaka 20 mpaka 30?Ukiona hivyo ujue umeshazeeka na kuchoka, upo 30+, wanawake wanaotongozwa na kuhudumiwa bado wapo, hatuwezi kuhamgaika na skrepa used, tunataka vibinti vibichi tufaidi utamu wao.
Ya kipumbavu yapi?.Hao wanawake wa zamani wapo mpaka sasa ni wamama, na teknolojia ya mitandao wanaishihudia, lakini hawana mambo ya kipumbavu kama wanawake wa sasahivi.
Njuruku ni nini?Miaka 15 ijayo kwenda mbele wanaume tutakuwa hatuna haja ya kufanya kazi
Kazi yetu itakuwa ni kuwasuuzeni tu
Kwa sababu mmetaka usawa kuona wanaume tunafaidi kwa mtakapokuwa na hela mambo yatabadilika wanawake wengi wakiwa na hela mwanaume kufanya kazi ni kupenda kwako hela zitakuwa zipo tu wakati huo mtabeba hadi zege sisi tutakuwa tunakuna pumbu tu mda huo tunaangalia pisi kali tu alafu zenye njuruku