Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Pambana dogo 🖕🖕🖕🖕🖕🖕🏿🤏🤏🤏Yani wanaume mmejuwa kuwatukana babu, Baba ZENU
Yani sikuhizi NI kama hamna wanaume kabisa
Ndio maana mnageuzana asee NI laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pambana dogo 🖕🖕🖕🖕🖕🖕🏿🤏🤏🤏Yani wanaume mmejuwa kuwatukana babu, Baba ZENU
Yani sikuhizi NI kama hamna wanaume kabisa
Ndio maana mnageuzana asee NI laana
Kuna wanawake ambao wako financially free na wanatongozwa kama Jua linavyowaka Kwa uaminifuKama wewe mwanamke ni financially independent sidhani kama utakua na muda wa kulalama kwanini hutongozwi, kwanini hukaribishwi kwa mwanaume na vingine ka hivyo.... coz utasubiri the right time kama wako yupo yupo tu.....
Ila kama mwanamke wewe ndio financially dependent kwanini usiwaze hivyo ooh sitongozwi oooh sjui nini.. Dada pambana tafuta maisha amna mahali inaposemekana mwanamke kaa mtegemee mwanaume.. ndio maana wengi mnaishia kutumika kisa pesa na kuachwa masingo maza...then mnarudi kusema wanaume hawafai.... dada nikuambie tu hakuna mwanaume anataka mwanake goalkeeper kwa maisha haya nooo. Mwanamke jishughulishe na usipende kua tegemezi. Mkiendelea kutegemea hela za bure mtasubiri sana.
Me nawashauri tu wanaume....
"NEVER OPEN YOUR WALLET TO PROVE YOUR LOVE"
Mbona hamlishi sasaU goalkeeper Sio ishu kuliko utii,kazi ya mwanamke Sio kutafuta ni kulishwa
We ndio mshamba WA mwishoukiona hivyo jua ya kwamba jua lishaanza kuzama
Duuh pole sana 🚮Najiuza
Mtahamia Kwa mbwaPambana dogo 🖕🖕🖕🖕🖕🖕🏿🤏🤏🤏
Wewe NI dokta au mgangaNakupenda sana nikubalie niwe wako
Mnataka ubwete hamna loloteEleweni hii assignment wanaume pia siku hizi tunachagua wanawake wenye akili hatoi ilimradi mbadilike mtastiriwa.
Kote nipo nina tibu kisha nina aguaWewe NI dokta au mganga
TumaKuna utafiti ulifanywa nitakutumia link yake hapa.
Na imewafanya wanaume muonekane ma mamaILE 50/50 MLIYOITAKA NDOO HII MPALANGANE NAYO SASA, NA MSIJE MKATINGISHIKA SINDANO ITAKATIKIA KWENYE TAKO MTULIE HIVYO HIVYO DAWA IINGIE.
ha ha haaUyo mlevi itakua hajalewa uyo wanaume kama hao tele tu Shida iko kwetu sisi Wanawake tunataka mambo mengi bila ya kufikiria uwezo wa wapenzi wetu
Money PennyHauna viwango research haina mashiko
Sioni kama. Una faida maana kama Yule dada WA clouds alishindwa Kwa mganga basi hamnaga fyuchaKote nipo nina tibu kisha nina agua
Baby upoo??
Ewaa hapa umenigusa.Uyo mlevi itakua hajalewa uyo wanaume kama hao tele tu Shida iko kwetu sisi Wanawake tunataka mambo mengi bila ya kufikiria uwezo wa wapenzi wetu
nipo baby'ake!Baby upoo??
Mekumiss, watoto wako wananizoea vibaya nitakuwa ntakuita uwachapenipo baby'ake!
Labda wanaume wa uko Daslama na mikio ya pwani.Na imewafanya wanaume muonekane ma mama
Yani NI mama wanaume mmeibiwa nyota na akina mama