Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Miaka 15 ijayo kwenda mbele wanaume tutakuwa hatuna haja ya kufanya kazi

Kazi yetu itakuwa ni kuwasuuzeni tu
Kwa sababu mmetaka usawa kuona wanaume tunafaidi kwa mtakapokuwa na hela mambo yatabadilika wanawake wengi wakiwa na hela mwanaume kufanya kazi ni kupenda kwako hela zitakuwa zipo tu wakati huo mtabeba hadi zege sisi tutakuwa tunakuna pumbu tu mda huo tunaangalia pisi kali tu alafu zenye njuruku
 
Cant answer for him. But wanawake miaka ya nyuma they were different. Hakuwa na un realistic standards walionazo hawa wa sasa.
Wanawake wakuolewa walikuwa zamani walikuwa wanalelewa malezi mazuri walikuwa na heshima zamani mwanamke ukimjali atarudisha upendo kwako wengi walikuwa wapo tayari kuanza maisha ya chini na wanaume ndio mana mapenzi yalikuwa yanaanza kwenye uchumba hadi ndoa tuwape maua yao wanawake wa sasa hawataki kabisa hiyo kitu mwanaume wa kuanza nae maisha pamoja

siku hizi wanawake wamezidisha ubinafsi zaidi ata ukimjali kwa matunzo atakuona danga na tena mjinga atakutumia kufanikisha mipango yake binafsi ukikwama huna chako biashara ya mapenzi imekuwa ni biashara ya kitapeli sana
 
Miaka 15 ijayo kwenda mbele wanaume tutakuwa hatuna haja ya kufanya kazi

Kazi yetu itakuwa ni kuwasuuzeni tu
Kwa sababu mmetaka usawa kuona wanaume tunafaidi kwa mtakapokuwa na hela mambo yatabadilika wanawake wengi wakiwa na hela mwanaume kufanya kazi ni kupenda kwako hela zitakuwa zipo tu wakati huo mtabeba hadi zege sisi tutakuwa tunakuna pumbu tu mda huo tunaangalia pisi kali tu alafu zenye njuruku
Nimecheka kaa fala aseee. 🤣🤣🤣🤣
 
Wanawake wakuolewa walikuwa zamani walikuwa wanalelewa malezi mazuri walikuwa na heshima zamani mwanamke ukimjali atarudisha upendo kwako wengi walikuwa wapo tayari kuanza maisha ya chini na wanaume ndio mana mapenzi yalikuwa yanaanza kwenye uchumba hadi ndoa tuwape maua yao wanawake wa sasa hawataki kabisa hiyo kitu mwanaume wa kuanza nae maisha pamoja

siku hizi wanawake wamezidisha ubinafsi zaidi ata ukimjali kwa matunzo atakuona danga na tena mjinga atakutumia kufanikisha mipango yake binafsi ukikwama huna chako biashara ya mapenzi imekuwa ni biashara ya kitapeli sana
💯💯💯🖐️🖐️🖐️🖐️✊✊✊✊
 
1684440553483.jpg
 
Wanawake wa kizazi hiki ni wabinafsi sana,shida ni yako Raha ni ya wote,kwenye shida wanakuacha,akikosa soko akavumilia hakuna rangi utoacha kuona.
Wamekuwa ni wajasiliandoa na Sio wasaidizi,wao wanataka waolewe lakini waishi kama awajaolewa.
 
Kama wewe mwanamke ni financially independent sidhani kama utakua na muda wa kulalama kwanini hutongozwi, kwanini hukaribishwi kwa mwanaume na vingine ka hivyo.... coz utasubiri the right time kama wako yupo yupo tu.....
Ila kama mwanamke wewe ndio financially dependent kwanini usiwaze hivyo ooh sitongozwi oooh sjui nini.. Dada pambana tafuta maisha amna mahali inaposemekana mwanamke kaa mtegemee mwanaume.. ndio maana wengi mnaishia kutumika kisa pesa na kuachwa masingo maza...then mnarudi kusema wanaume hawafai.... dada nikuambie tu hakuna mwanaume anataka mwanake goalkeeper kwa maisha haya nooo. Mwanamke jishughulishe na usipende kua tegemezi. Mkiendelea kutegemea hela za bure mtasubiri sana.
Me nawashauri tu wanaume....
"NEVER OPEN YOUR WALLET TO PROVE YOUR LOVE"
 
Kama wewe mwanamke ni financially independent sidhani kama utakua na muda wa kulalama kwanini hutongozwi, kwanini hukaribishwi kwa mwanaume na vingine ka hivyo.... coz utasubiri the right time kama wako yupo yupo tu.....
Ila kama mwanamke wewe ndio financially dependent kwanini usiwaze hivyo ooh sitongozwi oooh sjui nini.. Dada pambana tafuta maisha amna mahali inaposemekana mwanamke kaa mtegemee mwanaume.. ndio maana wengi mnaishia kutumika kisa pesa na kuachwa masingo maza...then mnarudi kusema wanaume hawafai.... dada nikuambie tu hakuna mwanaume anataka mwanake goalkeeper kwa maisha haya nooo. Mwanamke jishughulishe na usipende kua tegemezi. Mkiendelea kutegemea hela za bure mtasubiri sana.
Me nawashauri tu wanaume....
"NEVER OPEN YOUR WALLET TO PROVE YOUR LOVE"
U goalkeeper Sio ishu kuliko utii,kazi ya mwanamke Sio kutafuta ni kulishwa
 
Back
Top Bottom