Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #81
Sasa usilalamikie WA sasaZamani utabakia kua zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa usilalamikie WA sasaZamani utabakia kua zamani
Ndio wajibu wa kila mtu kuchangia pato la Taifa 😃Akalipe kodi
Eeh hakuko kama zaman watoto wengi, pole na kuachwa bana.Haya me nimerudi tena kuchungulia naona skuhizi hakuko kama zamani buana
Matamanio hayakuwepo waliolewa bikira hakuna kuchitMama zako walianza kuvaa nguo mwaka 1977
Ukikamatwa jela Miaka 50Vinapenda vyenyewe kubaka ni kumwingilia bila idhini yake. Katoto kanaifata hadi geto kanaimwagia uno kanabakwa kweli hako?
Naachwaje labda?Eeh hakuko kama zaman watoto wengi, pole na kuachwa bana.
Ingekua vizuri hao wababa wa zamani waseme experiences zao na wanawake wa zamani, nyie wengine mnasema tu wanawake wa siku hizi tuko hivi tuko vile wakati hamjui wanawake wa zamani walikuwaje....J
Kila kitu kipo wazi nyie wa siku hizi mna makando kando mengi sana.
Mnaweza bila kuwezeshwaHali Sawa ilianza mwaka 1985
Mbona mabikra sasahivi wako kibao bestMatamanio hayakuwepo waliolewa bikira hakuna kuchit
Vikoba oyeeeBado sijapauka
Pole kwa kupauka
Za kichina labdaMbona mabikra sasahivi wako kibao best
Nimeozesha mjukuu wangu juzi bikra mbichi
Noma sanaMnaweza bila kuwezeshwa
Point of correction.Cant answer for him. But wanawake miaka ya nyuma they were different. Hakuwa na un realistic standards walionazo hawa wa sasa.
NashangaaIngekua vizuri hao wababa wa zamani waseme experiences zao na wanawake wa zamani, nyie wengine mnasema tu wanawake wa siku hizi tuko hivi tuko vile wakati hamjui wanawake wa zamani walikuwaje....
Washindwe Kwa damu ya YesuNa wafie mbali wanyonyaji hao
Ajali kaziniUkikamatwa jela Miaka 50
We kweli bado mtotoZa kichina labda
Kwisha habari yakePoint of correction.
[emoji735]Wanawake wa nyuma they were different
[emoji736]Wanawake wa nyuma were different