Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Utakuwa unaishi buza
Tuna wake zetu, tuna mademu zetu main chicks na side chicks

Hao wakibana kuna house gals, wanafunzi wa kike, malaya wa mafungu, malaya wa mitandaoni, barmaids, wafanyakazi wa salon, mama ntilie na wasaidizi wao, wake za watu, mademu za watu n.k

Haya bado kuna namba huwa tunaokoteza tukiwa mitaani, kazini, maeneo ya ibada n.k

Huko kote utakosa utelezi kweli
 
Dakika ya 15 ya mchezo, ubao bado unasoma 1 - 1
Mashambulizi ni ya wastani na kuna dalili mechi ikaishia njiani, mashabiki wanachukizwa na wanacho kiona.
 

Attachments

  • 20230702_212151.jpg
    20230702_212151.jpg
    30.3 KB · Views: 4
Ngono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususu
Lodge kila kona, watu wengi hatufahamiani kwahiyo aibu imepungua.
Pia watu wa sasa tumekuwa na mahitaji na malengo makubwa sana wanaume kwa wanawake, hii inafanya wanaume tuwe bahili kwa maana kupunguza matumizi ya sio lazima. Upande wa pili ndio unatumia Uchi kufanikisha malengo
 
Nakuita kwangu siku ya kwanza tu unasema umefiwa na bibi yako mara umepelea ada mara kodi inaisha mwezi ujao alaf kichekesho sasa et nipo siku zangu mbona mimi sisemi niko siku zangu za kutokutoa hela
Jaman kama shule zimefunguliwa unataka aje vipi wakati ametokea kulipa ada
 
Tuna wake zetu, tuna mademu zetu main chicks na side chicks

Hao wakibana kuna house gals, wanafunzi wa kike, malaya wa mafungu, malaya wa mitandaoni, barmaids, wafanyakazi wa salon, mama ntilie na wasaidizi wao, wake za watu, mademu za watu n.k

Haya bado kuna namba huwa tunaokoteza tukiwa mitaani, kazini, maeneo ya ibada n.k

Huko kote utakosa utelezi kweli
Nyie ndio mnabaka watoto wa shule asee,
 
Cant answer for him. But wanawake miaka ya nyuma they were different. Hakuwa na un realistic standards walionazo hawa wa sasa.
Wanawake WA zamani wangepata exposure kama wanazopata WA sasa nadhani realistic standard zingekuwa the same don't you think??
 
Back
Top Bottom