Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
Pensheni imeliwa na Corona😂😂😂😂🏃hayo mamubaba yenu nayo yanawalaza njaa siku izi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pensheni imeliwa na Corona😂😂😂😂🏃hayo mamubaba yenu nayo yanawalaza njaa siku izi
Anakujaje sasa?!Akishapatikana mwanamke wa kuja kwangu bila kutaka nauli wala hela ya wigi basi nami nitakuwa wa hiyo aina hapo juu
Ukiwa na pesa yako huo muda wa kulalamika hupewi huduma utautolea wapi? Na hao wanaume makapuku hawatokusogelea utapata matajiri wenzio!Kwahiyo shida NI pesa?!
Nakuita kwangu siku ya kwanza tu unasema umefiwa na bibi yako mara umepelea ada mara kodi inaisha mwezi ujao alaf kichekesho sasa et nipo siku zangu mbona mimi sisemi niko siku zangu za kutokutoa helaAnakujaje sasa?!
Au unataka majini yake?!
Tuna wake zetu, tuna mademu zetu main chicks na side chicksUtakuwa unaishi buza
Umemaliza haya fungeni uziUyo mlevi itakua hajalewa uyo wanaume kama hao tele tu Shida iko kwetu sisi Wanawake tunataka mambo mengi bila ya kufikiria uwezo wa wapenzi wetu
Kwan kipindi babako anachumbia standard zolikuwa hamna au wewe ulikuwa hujazaliwa??
a ham
kwa majibu haya kweli, ulaumu soko limekua gumu??Huyu tumemuacha kwenye vikoba[emoji125][emoji125][emoji125]
Haelewi uzi anajibu jibu Tu kama Yule mama wa kariakoo aliekondeshwa na tra
Ewaaaa.....Uyo mlevi itakua hajalewa uyo wanaume kama hao tele tu Shida iko kwetu sisi Wanawake tunataka mambo mengi bila ya kufikiria uwezo wa wapenzi wetu
Kwahiyo kwenye mapenzi huduma NI pesa Tu?Ukiwa na pesa yako huo muda wa kulalamika hupewi huduma utautolea wapi? Na hao wanaume makapuku hawatokusogelea utapata matajiri wenzio!
Lodge kila kona, watu wengi hatufahamiani kwahiyo aibu imepungua.Ngono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususu
Jaman kama shule zimefunguliwa unataka aje vipi wakati ametokea kulipa adaNakuita kwangu siku ya kwanza tu unasema umefiwa na bibi yako mara umepelea ada mara kodi inaisha mwezi ujao alaf kichekesho sasa et nipo siku zangu mbona mimi sisemi niko siku zangu za kutokutoa hela
Mtoe hela jamaan mtatuua😂😂😂😂Mwambie wanawake na mikopo yao ya kausha damu ina kausha hadi majimaji kwa bibi.
Waache mikopo.
Nyie ndio mnabaka watoto wa shule asee,Tuna wake zetu, tuna mademu zetu main chicks na side chicks
Hao wakibana kuna house gals, wanafunzi wa kike, malaya wa mafungu, malaya wa mitandaoni, barmaids, wafanyakazi wa salon, mama ntilie na wasaidizi wao, wake za watu, mademu za watu n.k
Haya bado kuna namba huwa tunaokoteza tukiwa mitaani, kazini, maeneo ya ibada n.k
Huko kote utakosa utelezi kweli
Huyo ana mapepo anajifanya ananijua Sana nahisi NI mgeni JFUmemaliza haya fungeni uzi
✍️
Wanawake WA zamani wangepata exposure kama wanazopata WA sasa nadhani realistic standard zingekuwa the same don't you think??Cant answer for him. But wanawake miaka ya nyuma they were different. Hakuwa na un realistic standards walionazo hawa wa sasa.
Bado hujajibu swali, Rudia kusoma uziDakika ya 15 ya mchezo, ubao bado unasoma 1 - 1
Mashambulizi ni ya wastani na kuna dalili mechi ikaishia njiani, mashabiki wanachukizwa na wanacho kiona.