Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Ngono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususu
Me nadhani zamani ilikuwa rahisi zaidi maana mitandao ilikuwa hamna
Unaweza chapa sehemu 20 na hawajuani
 
Kwani soko la mapenzi limeingia mchanga au limevaa ndondo cup

Skuhizi bwana mpaka umpate mwanaume anakutongoza, nenda kanisani ukatoe sadaka kabisa

Ukipata hata mwanaume anakupeleka kwake ushukuru Mungu

Ukipata mwanaume anakununulia hata maji ya kunwa basi nenda Kwa Yatima Katie sadaka

Wanaume kama hao waliotajwa Kwa sasa NI rare editions

Yani wanawake sahivi tumepaukaa, tunamavumbiiii, tumechoookaaa kuliko hata wanakawa WA zamani

Wakowapi wanaume WA kuwa take care wanawake kizazi hiki??

Hiki kilio cha wanawake kuteseka kitaisha lini??

Alisikika mlevi mmoja kariakoo akiongea Kwa uchungu, baada ya saa za kazi, huku machoI na makamasi yakimtoka

Sasa WA kumlaumu Nani?!
1. Vikoba
2. Marejesho
3. Kizazi cha sasa
4. Malika WA nguvu??

Hamna picha Kwa Leo, we tafuta picha yako ya mlevi weka kichwani mwako.
Kuna shida mahali, hata nyie ke wenyewe mjitathmini
 
Well wanawake wa kipindi hiki mmeweka standard za juu wkt mna offer kidogo sana kwenye maisha ya mwanaume
So wanaume baada ya ku suffer muda mrefu wameona wawaachie standards zenu mpambane nazo
Wengi wame give up
Sasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...
 
Back
Top Bottom