90sgeneration
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 421
- 502
- Thread starter
-
- #201
hahaha ya hiyo bei sina boss wangu[emoji4]Naweza pata gari used kwa tzsh 2million
Laki 1 vipiiHaya wale wa uhakika na kuhamisha hamisha vifaa vya umeme.
Cable Reel hiyo
Urefu 25Mt
Price: 140,000
Contact: 0752329591
View attachment 2560234
Boss hiyo bei hapunguzi, na ni poweful hapo uhakika sio rahisi kuungua.Laki 1 vipii
Uwe unaweka picha za bidhaa ili tuone kabisaSawa boss, chukua number yangu 0752329591 zipo.
Safi, uzi unatakiwa uwe na picha.Sofa hilo la watu watano (5)
Hapo liko store limekaa mda kidogo ila halitimiki, so bado liko katika hali ya ubora ni kufuta vumbi tu kukalia.
Price: 290,000
Location: Kunduchi Couner, jirani kabisa na Royal oven, ukifika hapo nasi umefika.
Contact: 0752329591View attachment 2568014
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unautani wa ngumi weweEeeh wateja popote pale ukiagiza kitu unaletewa, hata huko mpunguzi mzigo unafika, hata mpwayungu village tunakufikishia.View attachment 2569054