90sgeneration
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 421
- 502
- Thread starter
-
- #61
Shukrani sana mkuu nimeielewa hio Tv hapo juu
Karibu sana sana boss wanguShukrani sana mkuu nimeielewa hio Tv hapo juu
Nimekaribia mkuu ntakuchekiKaribu sana sana boss wangu
Boss, yako makochi mawili (2) sio moja, likiwa moja ndio unaweza.pata used hata kwa 90-100k, na zote za hizi ni za watu wawili , sio moja - ambapo mengi likiwa moja ndio unapata kwa hiyo bei jipya but moja.Heee akat 150k unapata mtaan kochi jipya sjui wauzaj wavitu used online huwa mnawaza nn
Hhaha kwa nini boss.
Safi sana. Huu uzi utanifaa mno.Usijari mkuu, hata hivyo sipokei pesa ya mtu, nawaconnect wanalipana wao kwa wao, na mtu yoyote asitume pesa kwa mtu yoyotw bila kukabidhiana bidhaa. Hivyio haskuna wasiwasi mkuu.
Fridge analotumia Mtz akikuuzia unaweza kimbiaHhaha kwa nini boss.
Karibu sana Mkuu
Kochi jipya laki na hamsini wapi?kama ni kweli hilo litakuwa kocho mkuu.Heee akat 150k unapata mtaan kochi jipya sjui wauzaj wavitu used online huwa mnawaza nn