Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Hivi inamaana gani ya kuuza vitu vilivyotumika kwa bei karibia na vitu vipya? Sijaona bei ya kunishawishi! Hizo bei ni zaidi na bei ya vipya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kipi boss wangu kina bei?Hivi inamaana gani ya kuuza vitu vilivyotumika kwa bei karibia na vitu vipya? Sijaona bei ya kunishawishi! Hizo bei ni zaidi na bei ya vipya!
Karibu sana MkuuAhsante kwa taarifa...
Dah bei sawa na buree mkuu, ngoja niforce mazingiraaa apa nikifanikiwa nakuja kuwahi, ilo kabat doh ntaliwahiNauza Tv yangu 32inch na hilo Kabat la vyombo apo, sio la kichina, nimelichonga la mbao ngumu.
Kabati : 170,000....
Karibu sana Mkuu.Dah bei sawa na buree mkuu, ngoja niforce mazingiraaa apa nikifanikiwa nakuja kuwahi, ilo kabat doh ntaliwahi
Moja hauzi?Jamani, sofaset zetu boss ameshusha bei zinambania nafasi amenunu mpya, 470,000 anakuachia.
Capasity
3:2:1
Location: Makumbusho
Contact: 0752329591View attachment 2555484
Hapana boss wangu, moja hauziMoja hauzi?
kiongozi kuwa makini na bei tv inch 32 kwa huyu jamaa unapata mpyaaa kwa 200000 ebu pitia huu uzi unapoweka bei ujueNauza Tv yangu 32inch na hilo Kabat la vyombo apo, sio la kichina, nimelichonga la mbao ngumu.
Kabati : 170,000
Tv: 220,000
Ukichukua vyote ni 350k
Location: Urafiki dsm
Contactz: 0752329591
View attachment 2557079View attachment 2557080View attachment 2557081View attachment 2557082 Picha tu amepigia simu camera haiko vizuri lakini ni vizuri sana sana, njoo uvione uchukue.
Boss, naelewa mkuu, na Tv ziko na features tofauti, ndio sababu unaweza kuta zote ni 32Inch LED then bei zikawa tofauti, it depends, ndio sababu wanaokua wanafahamu utofauti wanaona iko sawa, mpe hiyo model then akwambie price yake ikowa mpya (hiyo ni Europe Tv) , na imeshauzwa tayari.kiongozi kuwa makini na bei tv inch 32 kwa huyu jamaa unapata mpyaaa kwa 200000 ebu pitia huu uzi unapoweka bei ujue
View attachment 2559190INAUZWA - Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu
We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo. Mawasiliano ya cargo tunazotumiaga wapigie watakuelekeza ofisi zao zilipo kwenye mkoa husika, na bei...www.jamiiforums.com