Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Unawalinda vipi wateja wako kuuziwa bidhaa za wizi, na baadaye kujikuta wako matatizoni?Haya siku nyingine tena, Wale mnaouza vitu vyenu, njoo inbox au piga simu au tuma ujumbe wa whatsapp : 0752329591
Kama pia hutaki hata mimi nikufahamu usijari, sina haja ya kukufahamu, just nitumia telegram info zote tutawasiliana : 0752329591 na takusaidia kukiuza kwa haraka. Tujitahidi bei za used si mnazijua jamani? tuweke bei nzuri ambayo itafanya tuuze kwa haraka.
Asabteni wale wote mlionitumia vitu na tuneshaciuza vingi tayari, na vilivyobaki bado tunapambana, na wanunuzi basi mniunge mkono aisee, msinishushe sana😅.
Karibuni sana. 0752329591
Nauliza kwa nia njema kabisa. Nina mpango wa kukuungisha TV siku za usoni.