Uchaguzi 2020 Sokoine, Mbeya: Magufuli asema Tulia amemsumbua sana kwa ajili ya maendeleo ya Mbeya, amuomba Joseph "Sugu" Mbilinyi kura

🤣Munaumiza watu mioyo asubuhi asubuhi. Tulieni waone wenyewe. 🤣
 
Madikiteita wote wako hivyo, nimefanya hiki au kile , upuuzi. Hamuoni raction ya watu kuwa hakuna anayethamini ujinga huo. People need FREEDOM
Wimbo wenu wa udikteta ulisha chuja,wazungu wenu wanawashangaa dikteta gani anaenda kuomba kura tena kwa unyenyekevu na kupiga magoti.
 
Meko..Kupiga magoti oyeeee..
Na bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…