Tunaambiwa na tunaonaga watu wanaletwa na mabasi na maroli lakini Mbeya sasa watakuwa wameletwa na treni maana iti isi tuu machi. Tathimi inaonyesha wamefunika kanda ya ziwa hata wale wa Kigoma wanafuata. CCM imeenda mbali hata kuwanunu wenye maduka, mamalishe na wachuuzi wote wako barabarani, wamenunuliwa wapo uwanjani jamani kwanza ni hatari kuwa na msongamano mkubwa hivi unaweza kusababisha watu kuumia bure.
Vile vile CCM imevuka mipaka kwani viongozi wote wa makanisa na misikiti hapa mbeya na waumini wao wamenunuliwa wote na CCM kibya zaidi watu wenyeumri mkubwa pia wamekuja kwa wingi kitu ambacho kuwanunua hawa si vizuri kwani wengine ni wazee sana si wangewaacha wapumzike.
Vile vile CCM imevuka mipaka kwani viongozi wote wa makanisa na misikiti hapa mbeya na waumini wao wamenunuliwa wote na CCM kibya zaidi watu wenyeumri mkubwa pia wamekuja kwa wingi kitu ambacho kuwanunua hawa si vizuri kwani wengine ni wazee sana si wangewaacha wapumzike.