Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

Mmetuharibia sama mimea asilia, hizo changanyachanganya zenu za miti ya matunda zinahari kabisa matunda asilia, siku hizi maembe yanabunguliwa yakiwa machanga kabisa
 
Nashauri wizara ya Elimu iweze kuajiri walimu wa kilimo Tanzania nzima Chuo cha SUA kinatoa walimu wazuri wa kilimo lakini hawana ajira , Ni muda wa serikali kuwaajiri vijana kwa maslahi mapana ya nchi yetu (Agriculture is the backborn of our country)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…