Hivi mtu una watoto wawili ambao ni Marais unategemea kupata vitu vya bure?It's a PR Disaster.
Pure and simple.
Wiki ile, hakuna hela ya kuongeza kwa wafanyakazi kwani serikali haina hela.
Wiki hii , Mzee Ruksa anapewa zawadi ya birthday ambayo anaweza kununuliwa na watoto wake ambao wengine ni Marais.
Mbaya zaidi unalifocus tukio lenyewe kwa kuahirisha mechi pendwa sana.
Tunaomtetea mama mtandaoni hatumwelewi.
Hasira yenu iko kwenye mechi iliyoahirishwa.It's a PR Disaster.
Pure and simple.
Wiki ile, hakuna hela ya kuongeza kwa wafanyakazi kwani serikali haina hela.
Wiki hii , Mzee Ruksa anapewa zawadi ya birthday ambayo anaweza kununuliwa na watoto wake ambao wengine ni Marais.
Mbaya zaidi unalifocus tukio lenyewe kwa kuahirisha mechi pendwa sana.
Tunaomtetea mama mtandaoni hatumwelewi.
Sawa.Mzee "kibongobongo" baba akienda age vijana wanachukua hatam. Sasa ni zamu ya Hussein kumhudumia mzee wake.
Nakushauri ukanunue kitabu cha Mzee Mwinyi usome amezaliwa wapi.Kikwete naye apewe au kwakuwa yeye ni wa bara!
Mkuu wasamehe tu!Ndo maana sasa naamini hata nyumbu anawazidi akili!
Mimi sikuhoji hela alizokuwa anagawa Rais Magufuli?
Huyu alieandika hivi ni nani?
View attachment 1778145
Kwani SASHA yeye amemzawadia mzee Mwinyi hilo Benz toka kwenye mfuko gani? Au nae ana mahela anakwapua tu toka sehemu yoyote?Sawa.
Lakini kwani Hussein ana mahela mengi sana yasiyo na matumizi kwake na familia yake mpaka akwapue hayo mamilioni yote 450 [kama ni kweli] na kumnunulia baba yake benzi?
Au una assume tu kwamba kwa vile Hussein sasa ni Rais wa Zanzibar basi ana unrestricted and unfettered access to Zanzibar’s coffers?
Hahahaaa yaani jamaa kakurupuka huko utadhani kafumaniwa na mke wa mtu!Mkuu wasamehe tu!
Huki ni kipindi cha mpito kwao.
Sijui kamzawadia toka kwenye mfuko gani.Kwani SASHA yeye amemzawadia mzee Mwinyi hilo Benz toka kwenye mfuko gani? Au nae ana mahela anakwapua tu toka sehemu yoyote?
Imefikia hatua sasa hivi hata Samia akipiga trilioni kadhaa nyumbu watasema sawa tu ili kumkomoa marehemu!Hahahaaa yaani jamaa kakurupuka huko utadhani kafumaniwa na mke wa mtu!
Nimemuwekea ushahidi ulio kinyume na uzushi wake.
Kaishia kula kona mazima!
Hata nyumbu wana akili kushinda hawa ndugu zetu aisee [emoji1787][emoji1787]
Una hoja za msingi sn, Mwinyi siyo mtu wa kununuiwa gari leo na wakati anapata kila kitu bure kutoka serikaliniJana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia gari [jipya?] aina ya Mercedes Benz iliyo chini [sedan] kwa sababu aliyokuwa akiitumia [nadhani ni SUV] ilikuwa inampa shida kuipanda na kushuka kutokana na umri wake mkubwa kwa sasa pamoja na kimo chake [hapa nahisi Rais Samia alisema kwa utani].
Tangazo hilo la Rais Samia limezua sokomoko kubwa, hususan mitandaoni.
Mimi sina tatizo na ‘zawadi’ hiyo kwa Rais wetu huyo mstaafu. Kwa maelezo machache aliyoyatoa Rais, sina pingamizi lolote lile.
Ila kuna wengine hawakufurahishwa na jambo hilo. Wamehoji kwamba iweje mtu kama Rais Mwinyi, ambaye katumikia taifa kwa muda mrefu na katika nafasi za juu kabisa, mtu mwenye istihaki nyingi hivyo, ashindwe kujinunulia gari linalomfaa kwa matumizi yake.
Rais Mwinyi keshawahi kuwa waziri. Keshawahi kuwa Rais wa Zanzibar. Na alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Sina hakika kama pia huwa anapata marupurupu ya utumishi wake kama Rais wa Zanzibar au la. Naamini ya urais wa Jamhuri ya Muungano anayapata.
Sasa mimi nina maswali kadhaa:
1. Je, hilo gari alilopewa hivi sasa ni la kwake? Limesajiriwa kwa jina lake? Yeye ndo analilipia bima?
Mimi muda wote huu nimekuwa nikidhani kuwa marais wastaafu huwa wanapewa gari ya matumizi na serikali na kwamba magari hayo huwa ni mali ya serikali.
Yaani, Rais mstaafu huwa anapewa gari, ofisi, watumishi wa ofisi, walinzi, na kadhalika.
2. Kama hivyo ni ndivyo, ni kapewa au wamembadilishia tu gari ya matumizi na siku atayoacha kuitumia itarudishwa ilikotoka?
3. Kama wamembadilishia tu gari, Rais angesema ‘tumembadilishia’ gari la matumizi kuliko kusema ‘tumempa’ gari jipya kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa, ingekuwa ni bora zaidi na isingezua sokomoko?
Tatizo nilionalo hapa ni kuhusu timing, optics, na word choice tu.
Zaidi ya hapo kelele zilizopigwa sizioni kama ni hoja zilizo compelling.
Rais Mwinyi siyo raia wa kawaida. Hawezi kulinganishwa na wazee wengine ambao hawajawahi kuwa marais.
Rais Samia kusema ile majuzi kuwa serikali haina hela za kutosha kuwapa posho wazee, hiyo haina maana serikali haina hela za kuwatunza marais wa zamani.
So this is much ado about nothing.
Go ahead and click that ‘Like’ button if you agree with me. Even if you don’t agree but you appreciate the content, go ahead and smash that button.
Happy Sunday and most importantly, have a very happy Mother’s Day!
Kuna vituo vya afya havina hata dawa muhimu za kusaidia watanzania lakini unampa mtu gari ambaye ana uwezo wa kununua hata ndege.Sijui kamzawadia toka kwenye mfuko gani.
Lakini bado hujajibu maswali yangu kuhusu Hussein…
Hussein anawajibika kwa baba yake, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu. Anaweza kumnunulia baba yake gari, wala sio ajabu kwa nafasi aliyonayo(japo sijui ana ukwasi kiasi gani).Sijui kamzawadia toka kwenye mfuko gani.
Lakini bado hujajibu maswali yangu kuhusu Hussein…
Matumizi mabaya ya fedha za ummaSina tatizo na Mzee Mwinyi kupeqa gari. Mzee Mwinyi anastahili kupewa gari ya kutembelea na serikali wakati wote. Siyo hisani wala haiwezi kuwa zawadi. Ni stahili yake.
Ila nina tatizo na Mzee Mwinyi kupewa gari kama zawadi. Ingekuwa ni vyema angetafutiwa kitu kingine kama zawadi.
Hahahaa raia wamemaindi sana kuhusu hiyo mechi 🤣Hasira yenu iko kwenye mechi iliyoahirishwa.
Hawa watu ndiyo maana wamejiwekea kinga za kutoshitakiwa kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.Hussein anawajibika kwa baba yake, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu. Anaweza kumnunulia baba yake gari, wala sio ajabu kwa nafasi aliyonayo(japo sijui ana ukwasi kiasi gani).
Hakukuwa na ulazima wa SASHA kumnunulia mzee gari, labda kama ni kwa pesa za mfukoni mwake.
Tatizo hapa ni ufinyu wa taarifa!Hussein anawajibika kwa baba yake, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu. Anaweza kumnunulia baba yake gari, wala sio ajabu kwa nafasi aliyonayo(japo sijui ana ukwasi kiasi gani).
Hakukuwa na ulazima wa SASHA kumnunulia mzee gari kama zawadi, yeye anatakiwa kufanya kama katiba inavyomtaka, labda kama ni kwa pesa za mfukoni mwake.
1. Magari ya staha ya Rais. I should think ni Vieiti.Fundi…umesema kuwa Rais mstaafu huwa anapewa magari mawili na huwa yanabadilishwa kila baada ya miaka 5.
1. Hayo magari mawili huwa ni ya aina gani? Yanayofanana au yasiyofanana?
2. Ina maana Rais Mwinyi sasa kapata gari ya tatu au wamembadilishia tu moja kati ya hayo mawili uliyosema wanapewa?
Narudia tena kusema kuwa huendi tatizo hapa ni timing, optics, word choice, na labda setting…
Serikali ndio imemzawadia.Tatizo hapa ni ufinyu wa taarifa!
Aliyemnunulia Mwinyi hilo gari ni Samia au ni serikali?
Wewe umesema ni Samia. Unaposema ni Samia unamaanisha ni Samia kama Samia au ni Samia kwa niaba ya serikali?
That’s what I thought too…Serikali ndio imemzawadia.
Amandla...