Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
 
Upvote 73
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Hello members, naomba uchukue muda wako kusoma makala yangu inayosema kutoka kuajiriwa mpaka kujiajiri. Kuna mambo unaweza kujifunza, kunishauri au kunikosoa kwa lengo la kujengana na kujikomboa kiuchumi.

Pia ninaomba unipigie kura yako. Asante
 
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Ndugu JamiiForums haya maneno mliyosema ni 800 hadi 1000 kweli au mlikosea kuongeza 0 moja? Mbona haya maneno nimeyadurufu yanaonekana machache sana? Please assist.
 
Hivi inajua
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
jwamba
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Hivi umewahi kijiuliza ni kwa nini biashara nyingi hufa mara baada ya mbeba maono wa biashara hiyo (mume au mke) kufariki?

Moja ya sababu kuu ni kutokuandaa mtu wa kupokea kijiti (successor). Yaani unakuta mtu ameanzisha biashara yake na kuiatamia mwanzo mwisho bila kujua maisha ya mwanadamu ni kama maua....
Iko hivi, kwa ustawi mzuri na himilivu wa biashara yako wewe baba mshirikishe mke wako na wewe mama mume wako mwanzo mwisho.
Usiishie kumshikisha tu bali mfundishe namna ya kusimamia hiyo biashara. Ajue namna ya kupata faida na hata madeni yaliyopo.
Kuna watu wakikatika ghafla pesa nyingi za biashara hupotea kwa sababu ya usiri wa biashara.
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Hivi umewahi kijiuliza ni kwa nini biashara nyingi hufa mara baada ya mbeba maono wa biashara hiyo kupoteza maisha?
Moja ya sababu kuu ni kutokuandaa mtu wa kupokea kijiti (successor). Tafiti zinaonyesha kuwa biashara zilizodumu kwa miongo kadhaa au hata karne nzima ni zile zilizowekewa mifumo madhubuti ya successors.
Wafanyabiashara wengi wamekuwa ni wasiri sana kufikia hatua ya kupoteza mali na fedha nyingi pale wanapofariki kwani madeni (credits) yanakuwa hayajulikani. Kibaya zaidi na biashara yenyewe hufa kwa kukosa wajuzi wenye ufanisi wa kuiendesha.
Raha ya biashara ni kuendelea kuishi hata kama mwanzilishi hayupo. Na hii ndiyo maana ya kuwaandalia maisha mazuri watoto wetu.

Ni vema sana kwa mume/mke kumshirikisha mwenza wake katika biashara. Unaweza kwenda mbali zaidi kwa kumfundisha namna ya kusimamia biashara na kutengeneza faida n.k

Pitia uzi wangu kwenye SoC 2022 - Kutoka kuajiriwa mpaka kujiajiri uone namna nilivyojitahidi kumpa mamlaka mke wangu katika biashara mpaka tukafuzu.
Unaweza kutoa maoni yako au ushauri nami nitapokea kwa mikono miwili. Ninaomba kura yako pia.
 
naomba kujua pia je! unajikita katika makala moja au zote mfano kilimo tuu
 
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
naandikia wapi shindano hili?
 
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Naomba njia rahisi ya kuituma hio story of change, nimetafuta sehemu ya kupaste humu baada ya kuandika nje hata sijaona.
 
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Jinsi ya kuituma hio story unatumaje
 
SWALA LA AFYA KATIKA KILA NGAZI NA NYAJA MBALIMBALI

Afya ni kitu ambacho kila mtu asipokuwa nayo vyema basi kila kitu hakitoweza kwenda sawa ,afya imekuja kuwa tatizo kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku hivyo katika kuhakikisha afya inakua nzuri na njema tunatakiwa kufuata njia zote za usafi Na salama kwa maana kila magonjwa yako na njia staiki yakuweza
 
AFYA KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

Afya ni kitu ambacho kila mtu asipokuwa nayo vyema basi kila kitu hakitoweza kwenda sawa ,afya imekuja kuwa tatizo kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku hivyo katika kuhakikisha afya inakua nzuri na njema tunatakiwa kufuata njia zote za usafi Na salama kwa maana kila magonjwa yako na njia staiki yakuweza kuzuia na hakuna magonjwa ambayo hayana njia za kuepuka mfano malaria tunaweza tukaepuka kupitia kufunga neti ndani,kufukia mashimo na mito iliyopo karibu ili kuzuia mbu lakini pia kufyeka majani yote marefu katika kona zote za nyumba ili kupoteza mazalia ya mbu,sambamba na hiyo kila gonjwa liko na njia zake na tunachotakiwa ili kuwa na afya njema ni kula mlo kamili na kufuata njia staiki zote za kuepuka magonjwa.
 
Ewe kichwa changu jaribu kuwa muungwana siunaona mihela hiyo usinisaliti wakati
 
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
Washindi walishatangazwa?
 
Hivi washindi mnawatangazaje? Au tayari watu wameshajifahamu?
 
Back
Top Bottom