Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Kwa wote wanaotaka kushiriki shindano la Stories of Change Tafadhali someni kwa makini vigezo hivi. Hakikisha andiko lako limekidhi kabla ya kutaka kuchapisha.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:
  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno yasiyopungua 800 na yasiyozidi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.
 
Upvote 73
Kabisaa sifaham kama washindi washapatikana ama la
Walishawatumia ujumbe PM kwao na leo wanawakabidhi zawadi. Ila kiuhalisia wanakosea sana waweke wazi hapa kuwa Uzi ulioshinda ni huu na zilizoingia 20 bora ni hizi. Kukiwa na uwazi hakuna shida ila kama wanafanya kwa kificho kuna walakini
 
Walishawatumia ujumbe PM kwao na leo wanawakabidhi zawadi. Ila kiuhalisia wanakosea sana waweke wazi hapa kuwa Uzi ulioshinda ni huu na zilizoingia 20 bora ni hizi. Kukiwa na uwazi hakuna shida ila kama wanafanya kwa kificho kuna walakini
Mhhhhhh
 
Back
Top Bottom