Soma Hapa Ujumbe Mzito Na wa Kizalendo Kutoka Kwa Jeshi La Polisi

Soma Hapa Ujumbe Mzito Na wa Kizalendo Kutoka Kwa Jeshi La Polisi

Kuleni hela za DP world ila msithubutu kuumiza raia kesho, maandamano yatakuwa kila jumatatu mpaka mtanyoosha mikono.
Bado ni nguvu ya soda tu.
Tunahitaji dhamira ya dhati kujikomboa, sio kwa matamko tu na kulambishwa asali.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sana , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wenzenu wa Kenya, wapo HaITI, wanalinda Amani, na kuleta
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sana , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wenzenu akili kubwa, Kenya wapo HAITI, wanalinda Amani, na kuikoa nchi dhidi ya magenge ya uhalifu, hawa wa bongo wanatikisa makalio balabalani, na kusubili posho! So pathetic
 
Wenzenu wa Kenya, wapo HaITI, wanalinda Amani, na kuleta

Wenzenu akili kubwa, Kenya wapo HAITI, wanalinda Amani, na kuikoa nchi dhidi ya magenge ya uhalifu, hawa wa bongo wanatikisa makalio balabalani, na kusubili posho! So pathetic
Tanzania ni salama sana kuliko hiyo kenya ambayo imekuwa ikipata mashambulizi mbalimbali kutoka kwa alshababu.au umesahau tayari?
 
Mbona mnatumia nguvu kubwa sana na vitisho vingi kama vile alshabab wametuvamia.

Miezi miwili nyuma hao Chadema waliandamana Dar, Arusha, Mwanza Mbeya na kwengineko bila hata vurugu hakukuwa na lolote na sehemu zingine polisi hawakuwepo

Hii mbona kama mmepanic kulikoni?
mi naona mihemko ndio mingi zaidi,

sasa polisi wanajipanga na kujiweka tayari kwaajili ya kutekeleza wajibu na majukumu yao ya kila siku iweje watumie nguvu?

Jeshi imara la police linatumia intelijensia, mbinu za kijeshi na maarifa ya kiwango cha juu mno kufanya kazi zao 🐒
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sana , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni jambo la maana kwa vijana wote nchini, kuepuka na kujitenga kabisaa na magenge ya kihalifu..

ni muhimu kujiepusha kupeleka mzigo wa huzuni kwa wazazi ambao huenda wamekutuma mjini kuja kusoma tu 🤭
 
Tanzania ni salama sana kuliko hiyo kenya ambayo imekuwa ikipata mashambulizi mbalimbali kutoka kwa alshababu.au umesahau tayari?
Lucas uzuri ni kwamba hata utetee vipi, hii chuma ni yetu sote, labda uhame nchi but as long as unaishi TZ, kodi ninayokatwa mm na wewe pale bandarini ni sawa, matatizo ya uchumi wa nchi ntakayo pata mm na wewe yatakufikia, hata kama hayata ku-affect wewe hata watoto wako na vizazi vyako vya baadae yatawakuta tuu, unapofanya kitu jaribu kufikiria mara mbili-mbili.

Hata utetee vipi hiki kikombe tutakinywa wote.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Tanzania na watanzania tuna kila sababu ya kujivunia uimara ,weledi ,uzalendo ,utayari, ushupavu, umadhubuti,umakini na uhodari wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Msione watu wanalala kwa usalama huku milango wakiwa wameweka tu misumari kama komeo na kuamka wakiwa salama wao na mali zao.

Uhodari na umakini wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndio unatufanya watanzania tuamke salama sisi na mali zetu, kusafiri usiku kucha kupita milima na mabonde, tambarare na kona zote bila shida wala wasiwasi ya aina yoyote ile ya kutekwa. Watu kukesha bar wakiuza na kunywa pombe na wengine wakiangalia mipira mpaka usiku sana ,huku wengine wakikesha katika nyumba za ibada huku milango ikiwa wazi au imerudishiwa tu kuzuia baridi isiingie ndani.

Tuna tembea muda wowote tutakao kwa sababu tuna askari shupavu ,tuna majeshi imara na viongozi hodari na makini wanaongoza vyombo hivi chini ya Uongozi na maelekezo ya Mama yetu na Rais wetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan.

Kumbukeni tunapokuwa tumelala sisi majumbani mwetu ,vyombo vyetu vinakuwa macho na vikitembea na kufanya doria usiku kucha ,huku vikipambana na kukabiliana na vitisho vyote kwa usalama wetu. Tupo salama kwa sababu ya jasho,machozi na Damu ya askari wetu waliojitolea kutulinda watanzania.

Kumbukeni kuna askari wetu inafikia wakati wanapata ulemavu wa kudumu na wengine wanafia kazini katika mapambano ya kulinda Taifa letu dhidi ya wahalifu na majambazi. Lakini wanaobakia wanaendelea na kazi ya kutulinda kwa moyo wote bila kukata tamaa wala kukatishwa tamaa japo wamepoteza wenzao katika mapambano.

Watanzania tuna kila sababu ya kuvipongeza,kuvitia moyo ,kuviunga mkono na kuvipatia ushirikiano mkubwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa za muhimu kila iwezekanavyo kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa letu. Natambua changamoto huwa hazikosekani katika suala zima la kulinda Raia na mali zao. kwa sababu unakuwa unapambana na watu wenye akili na ujuzi wa kila aina na wenye kila aina ya utaalamu wanaoutumia katika kufanya uhalifu.

Watanzania tuwe na imani kuwa matukio yaliyotokea hapa Nchini ya watu kutoweka na kutopatikana mpaka sasa , yanaendelea kushughulikiwa vyema na kwa ushirikiano mkubwa sana wa idara zetu zote za ulinzi na usalama,.kuhakikisha kuwa wote waliopotea wanapatikana wakiwa hai na salama , lakini pia kukomesha Vitendo vyote vya kihalifu vinavyotokea na kufanyika Nchini.

Watanzania tuendelee kulinda amani yetu na kamwe na katu tusikubali kuharibu amani ya Nchi yetu ambayo ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.pasipo amani na utulivu hakuna habari za biashara,wala michezo,wala siasa majukwaani,wala kusoma kwa amani kwa wanafunzi wetu,wala kujishughulisha vizuri kwa shughuli za kiuchumi,kijamii n.kView attachment 3103535

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona hawafanyi hivyo kwa wanaotekwa na kuawa?
 
Lucas uzuri ni kwamba hata utetee vipi, hii chuma ni yetu sote, labda uhame nchi but as long as unaishi TZ, kodi ninayokatwa mm na wewe pale bandarini ni sawa, matatizo ya uchumi wa nchi ntakayo pata mm na wewe yatakufikia, hata kama hayata ku-affect wewe hata watoto wako na vizazi vyako vya baadae yatawakuta tuu, unapofanya kitu jaribu kufikiria mara mbili-mbili.

Hata utetee vipi hiki kikombe tutakinywa wote.
Hoja yako ni ipi ndugu yangu.
 
Hizi mbinu za gun boat diplomacy zilizotumiwa na wajerumani enzi za ukoloni ili kuwatisha wananchi ili wakubali kutawaliwa kiurahisi lakini mwishowe nguvu ya umma iliwafurusha pamoja na mitutu Yao.Nguvu ya umma haizuiliwi Kwa mitutu.
 
Hivi mkuu Lucas Mwashambwa huwa kuna shughuli nyingine ya kukuingizia kipato unafanya apart from hizi elfu saba mnazolipwa hapo Lumumba?
 
Back
Top Bottom