Soma unaweza jifunza kitu: Jinsi graduate nilivyopoteza 1.8M niliyoitafuta kwa jasho

Muamini Baba na Mama??? Kwenye pesa?
 
Muamini Baba na Mama??? Kwenye pesa?
 
Mkuu km una lak tan chez na chart tu ndani ya wik pesa yako inarud
 
Sahihi, huruma imeniponza pia
 
Hizi zikiondoka hazipatikani, wanapeleka ziwa Victoria machine inafungwa kwenye boti za uvuvi vifaa vingine wanauza
 
Mie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Milioni 6.
Tofali 800= 800000
Cement 10= 150000
Mchanga = 150000
Nondo= 150000
Bati = 500000
Madirisha manne = 800000
Mbao = 300000
Ufundi = 500000
Chumba na sebule umehamia na chenji
 
Simama. Nenda kwenye kioo kikubwa. Jiangalie kwa muda. Tabasamu... sema kwa sauti.. asante Mungu mimi bado mzima na nina afya tele na mikono yangu na akili zangu ni timamu. Nitie nguvu Mungu wangu.... nasonga mbele na wewe utanipigania na ninaamini nitapata zaidi ya hizi nilizotapeliwa.
Jivike ujasiri... jisahaulishe yaliyopita... anza kupanga mipango mipya ya kujikwamua kwa imani.
Usiendelee kuwaza na kuumia sana.... utauumiza moyo na hutaweza kuutibu! Songa mbele.
 
Nimecheka asee eti maisha hayana huruma, afu umetanguliza pesa mbele sana huwezi kujua labda mshikaji kadei, muwazie na mchizi kidogo.
 
Mie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Hivi inakuagaje paka unaibiwa pesa yote hii?
 
Nikirudi home madogo wanapenda sana kuniambia broo nunua pikipiki tukuletee hela. Nawaambia madogo mm sina kitu naunga unga maisha tu. Story zikinoga wanaanza kusimulia jinsi wanavyowaibia mabosi pikipiki wanazopewa mkataba. Ndio nikajisemea bora nifungue goli niuze matunda tu. Kiufupi usimpe kazi mtu ambaye sio mkeo, mwanao au mumeo
 
Time healing
 
Milioni 6.
Tofali 800= 800000
Cement 10= 150000
Mchanga = 150000
Nondo= 150000
Bati = 500000
Madirisha manne = 800000
Mbao = 300000
Ufundi = 500000
Chumba na sebule umehamia na chenji
We jamaa
 
Mie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Unapandaje daladala na 6.4? Ungechukua usafiri mwingine. Na huko kwenye daladala ulisinzia au ilikuwaje?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…