Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Wakumbushwe na papuchi nayo ina shape hiyo.....
we dogo nakikumbali sana kwa comment zako za kibabe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakumbushwe na papuchi nayo ina shape hiyo.....
Ni nani alikwambia kanisa lilitengeneza maandiko ya waislamu, embu fungukaMimi nimechukua kutoka kitabu mnachosema ni maneno ya mungu, si hadithi Za kanisa Kama ulivyoleta wewe
Mathew 5
Wakumbushwe na papuchi nayo ina shape hiyo.....
Umekariri ila siwezi kubishana na mtu ambae tangu udogo unafundishwa chuki na wazazi
Haikusaidii katika maisha yako na wala sio vita sasa unapata faida gani kuendelea kutukana
Jadili hoja ila kashfa na matusi hayafai uwe na heshima kwani humu hakuna zawadi za kukashifu mtu
Kuna wahuni humu kama Mokiti na MK254 hawana hoja wala hawawezi kujadiliana kea facts na lugha nzuri ,mimi huwa nawapuuza.Umekariri ila siwezi kubishana na mtu ambae tangu udogo unafundishwa chuki na wazazi
Haikusaidii katika maisha yako na wala sio vita sasa unapata faida gani kuendelea kutukana
Jadili hoja ila kashfa na matusi hayafai uwe na heshima kwani humu hakuna zawadi za kukashifu mtu
Kila kinywa kitamkiri Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yakeAl Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia.
Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity)
Hichi kitu kimenishangaza kwa nini kisibadilishwe umbo la duara au mstatili, badala ya kuwanyima watu kitafunwa wanachokipenda kisa ujinga walio nao kichwani.
Au ndio udogo wa kufikiri?
Source : Somali Extremist Group Bans Samosas in Country
View attachment 2473792
Mimi simtukani mtu hayo yamo kwenye biblia zao hata inakuwa ni vigumu kuwaweka yesu na Nabii issa
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s. alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu. Wanatoka kutoka koo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:
A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).
B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29)
Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake. Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana. Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu. Biblia inasema kwamba: 1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).
2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).
3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).
4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).
Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.
Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:
“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).
Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.
Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnamtegemea nini?
LUGHA YA YESU
Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44) na vile vile mtu anatambulika kwa ulimi na lugha yake kwamba anazo khulka za aina gani?
Maana lugha ya mtu inaonesha masomo yake, tabia na khulka yake.
Tunampima Bwana Yesu Kristo sawa na maandiko ya Biblia.
Bila ya kupoteza muda , ningependa kuwaletea baadhi ya maneno na lugha ya Bwana Yesu aliyotumia katika uhai wake.
1. Wasioamini (wasio Waisraeli) wameitwa mbwa na nguruwe. (Mathayo 7:6).
2. Aliwaita watu wabaya: ”Enyi wazao wa nyoka” (Mathayo 12:34).
3. Mayahudi waliitwa: “Kizazi cha zinaa.” (Mathayo 12:40,, 16:4).
4. Mayahudi waliitwa “Wazinifu na wakosefu.” (Marko 8:38).
5. “Ole wenu waandishi na wafarisayo, wanafiki,” (Mathayo 23:16).
6. “Ole wenu viongozi vipofu.” (Mathayo 23:16).
7. “Enyi nyoka, wana wa majoka” (Mathayo 23:33).
8. “Watu wengine waliitwa mbwa.” (Mathayo 15:27).
9. Aliwaita manabii wenzake: “wote walionitangulia ni wevi na wanyang'anyi.” (Yohana 10:8).
10. Aliwaita wanafunzi wake: ”Enyi kizazi kisicho amini, kilichopotoka.” (Mathayo 17:17). 11. Akamwambia Petro “Nenda nyuma yangu Shetani.” (Mathayo 16:23
12. Akamwambia mama yake: “Ewe mwanamke nina nini nawe? (Yohana 2:4).
13. Akasema mama yangu ni nani na ndugu zangu ni akina nani? (Mathayo 12:48).
14. Siku ya Kiyama atawaita wahubiri Wakristo: “Nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi mtendao maovu.” (Mathayo 7:23).
Kwa ilivyoandikwa biblia ya Jiwe angavu version?Walikua makahaba na wazinifu ndio ila baada ya kuolewa wakaacha ukahaba na uzinifu je hilo ni kosa kwao kuacha dhambi hizo?
Nimeichambua kwani nimeandika biblia yangu ?Usiichambue biblia kwa mlengo wako. Ila uzuri nafurahi kuona kuwa wewe ni msomi mzuri wa biblia hakika kwake bwana Yesu kila goti liyapigwa.
Nacheka sababu huujui ukristo pia huujui uislamYESU ALILETA UPANGA
Sawa na mafundisho ya Biblia tumeelewa tayari kwamba Bwana Yesu alikuwa mtume kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Sasa tuone kwamba Bwana Yesu Kristo alileta kitu gani na alitumwa na nini?
Mwenyewe anatueleza lengo la kutumwa kwake, anasema:
1. Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani. La, sikuja kuleta amani, bali upanga. Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:34-35).
2. Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wa kike, naam na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. (Luka 14:26).
3. Je, mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia la, sivyo, bali mafarakano. (Luka 12:51).
4. Bwana Yesu alitayarisha wafuasi wake kwa ajili ya kuleta fujo na vurugu na aliwaamrisha akawaambia:
“Lakini sasa mwenye mfuko na auchukuwe, na mwenye mkoba vivyo hivyo, naye asiye na upanga akauze joho lake akanunuwe upanga. (Luka 22:36).
5. Siyo maneno tu bali katika maisha yake alionesha hata kwa vitendo vyake kwamba alikuwa mtu wa fujo.
Biblia inasema kwamba:
“Yesu aliingia ndani ya hekalu akawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni. Akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao waliokuwa wakiuza njiwa.” (Mathayo 21:12).
6. Akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akizipindua meza zao. (Yohana 2:15).
7. Kwa sababu ya mafundisho yake, wanafunzi wake walikuwa wajeuri kiasi hiki kwamba walikuwa wakitumia upanga kwa ujasiri. Biblia inasema: ”Na tazama, mmoja wao waliokuwa pamoja ya Yesu akanyoosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akamkata sikio.” (Mathayo 26:51).
Sasa umesoma historia ya Bwana Yesu Kristo na mafundisho yake kuhusu kuleta fitina na fujo duniani na kuharibu amani ya watu.
Na inashangaza wakati baadhi ya wachungaji wanatangaza au inaandikwa juu ya ‘sticker’ za magari kwamba “There is peace in the blood of Jesus” yaani ipo amani katika damu ya Yesu. Ilhali yeye alikuwa siyo mwenye kuleta amani duniani bali upanga, fujo na fitina.
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu (Masihi) alikuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu na alitumwa kwa lengo maalum, lililotajwa kwa ulimi wake katika Qur'an Tukufu kwamba: “Nisadikishaye yaliyo mbele yangu katika Taurati na kutoa habari njema ya Mtume atakayekuja nyuma yangu jina lake ni AHMAD.” (QUR'AN 61:7).
Pia sawa na mafundisho ya Qur’an Tukufu, nabii Isa a.s. alifungamanishwa na amani katika maisha yake yote: “Na amani iko juu yangu, siku niliyozaliwa na siku nitakayokufa na siku nitakayofufuliwa kuwa hai.” (19:34).
Wao ndio walikuwa wanatengenezagaKama ni kweli,basi alshabab hawana akili.
Ila inanishangaza Sana nchi zenye asili ya uislamu kujitetea mno dhidi ya ukristo. Uislamu haupendi challenge kabisa. Hii mbona Ni inshu ndogo Sana,sambusa si ni wazo tu la binadamu kuifanya iwe pembe tatu? Si wabadilishe waweke hata pembe sita au hata pembe Mia. Mbona kwenye ambulance msalaba wakabadilisha wameweka mwezi na nyota kwenye hizo nchi zao za kiislamu?
Waislamu wengi wa kiafrika hawajui Quran kwasababu ya lugha.Nimeichambua kwani nimeandika biblia yangu ?
Kuna nyumba moja kulikuwa na shekh ana hizo video ya mihadhara. Inaelezea kuukosoa ukristo yaani mpk unashindwa kuelewa wanajifunza nini. Wanauogopa sana ukristo. Huwezi kukuta mikutano ya injili ya wakristo wanaukosoa uislamu.Kwanini waislam wengi wanaogopa sana ukrito??? Nilijaribu kuhudhuria miadhara yao Yani badala wawakumbushe waumini wao kuacha shambi
Yaani wao ninkuponda wakristo tu cjui shida ipo wapi..
Kwenye mikutano ya injiri huwezi kuona mwakasege...anauponda uislam atahubiri injiri ....watu wataokoka habari imeisha..
Kwa ndugu zetu kemeeni Kuna waganga wengi wanatumia Quran...
Tumieni hyo mihdhara kukemea..
Waislamu wengi wa kiafrika hawajui Quran kwasababu ya lugha.
Huyu mifano yote ameitoa kwenye biblia. Angeaonyesha kwa mifano kuwa kwenye Quran hakuna jambo hilo, Ningemuelewa sana.
Huwa napata wakati mgumu sana kujua hawa watu kama wanaelewa Quran vilivyo.
Hata maandiko yao hapa JF utayakuta yale ya Rest in peace, najuni sijui nini lkn mambo mengine kuhusu yaliyoandikwa kwenye Quran hakuna.
Wewe ungekuwa mjumbe mzuri sana kwa kuelezea Quran ilivyokuwa nzuri lkn umeishia kwenye Biblia.
Cha ajabu na kinachosikitisha huyu Yesu ambaye humtambui lkn Quran inamtabua kama nabii issa lkn kwa sababu hamjui lugha mnafikiri Yesu wa kwenye Biblia na kwenye Quran ni yule yule.
Muislamu ukimwambia mimi ni mkristo nihubirie ili nisilimu. Hapo ataanza kuikosoa Biblia, atatoa mifano mingi ya kwenye Biblia 99% na Quran 1% anamalizia kukuambia ni dini ya haki. Unashangaa hawa watu wanaelewa au wamekaririshwa?
Hongera sana kwa kuisoma Biblia, hii inaonesha unaisoma na kuikubali sana Biblia kuliko Quran. Kinachokufanya usiisome Quran ni kwasababu huijui lugha ya kiarabu. Bila kujua lugha ya Kiarabu huwezi kusali wala kwenda peponi lakini kwetu Mungu wetu anajua lugha zote.
Kuna nyumba moja kulikuwa na shekh ana hizo video ya mihadhara. Inaelezea kuukosoa ukristo yaani mpk unashindwa kuelewa wanajifunza nini. Wanauogopa sana ukristo. Huwezi kukuta mikutano ya injili ya wakristo wanaukosoa uislamu.
Mahubiri mengine wanaelezea ukishakufa anakuja joka mkubwa mwenye kucha ndefu ametumwa na Allah. Anakuchoma na hizo kucha kaburini unahisi maumivu yasiyoelezeka anatoka na wewe anapaa.
Sasa unajiuliza umeshakufa unahisije maumivu? Nikajiuliza hii dini ndiyo maana huwa haitaki uhoji wanakuua maana ina mapungufu mengi sana. Na ipo kwenye lugha ya kiarabu ili usisome na ukaelewa. Waislamu wengi sana wakiafrika hawaijui quran
Kwanini waislam wengi wanaogopa sana ukrito??? Nilijaribu kuhudhuria miadhara yao Yani badala wawakumbushe waumini wao kuacha shambi
Yaani wao ninkuponda wakristo tu cjui shida ipo wapi..
Kwenye mikutano ya injiri huwezi kuona mwakasege...anauponda uislam atahubiri injiri ....watu wataokoka habari imeisha..
Kwa ndugu zetu kemeeni Kuna waganga wengi wanatumia Quran...
Tumieni hyo mihdhara kukemea..
Kamzike kafa janaFacts zipi, unataka nikubaliane na mzee kuchafua mtoto kwamba ndio facts https://www.jamiiforums.com/threads...d-alifanya-ngono-na-mtoto-wa-miaka-9.2054383/