Somo kwa wastaafu: Pesa za pensheni siyo za kufanyia biashara kama unataka kuishi Maisha marefu

Somo kwa wastaafu: Pesa za pensheni siyo za kufanyia biashara kama unataka kuishi Maisha marefu

Watu hawana huruma na wastaafu, huwapa michongo ya pesa wanaishia kufa kwa pressure. Ukistaafu idea nyingi sana unaletewa na ndugu.

Pana mstaafu alipata milion 250. Shemeji yake akamwambia tufate pikipiki China ukileta kwa jumla pesa ipo, akampa pesa shemeji yake akalala nazo kona China, hadi wa leo hata kama alirudi nchini kimya kimya siri yake.

Pana mstaafu aliambiwa trekta zinalipa akapigiwa hesabu na motivator akaingia dukani akachukua trekta mbili mpya kwa milion 90 leo zipo juu ya mawe zinaliwa na kitu, amekosa pesa za kununua spea.

Mwingine aliambiwa daladala zinalipa akazinunua akaishia kushinda stand anahesabu tripu Kila ikipita. Ukistaafu achana na biashara, nunua bond au weka fixed nje ya nchi mfano Canada, USA au zile stable country ule gawio kila baada ya muda, umeshindwa sana jenga chumba sebule chumba sebule gombana na wapangaji maisha yasonge.

Kisha tafuta shamba mikoani acha familia mjini weka kasikilize sauti za ndege tu porini unalima kilimo kisicho cha biashara ili kufanya mazoezi tu utafika miaka 100, pia kaa mbali kabisa na hawa mitume na manabii watakufilisi.

Pana mama yupo kitandani mwaka sasa anaumwa, aliambiwa biashara fulani inalipa alikuwa na nyumba zake 4 alijinyima akiwa kazini kujenga, akaingia bank akazikopea milion 200 baada ya muda biashara ikawa hasara bank wanataka hela zao.

Bora upoteze pesa ujanani una nguvu kuliko kupoteza uzeeni, zikienda zimeenda.
😅😅😅
 
Kadiri inavyowezekana, Serikali na Taasisi zake ziendelee kutoa semina za kuelimisha Watumishi ambao wanakaribia kustaafu!
 
Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni ujinga,utastaafuje hâta kujenga Bado? Miaka yote kazini kabla ya kustaafu utashndwaje kujenga
 
Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
Mzilankende aliwakomoa Wachaga kimara,alikuwa na Chuki Kali,70% ya nyumba kimara ni za Wachaga
 
Kuna mzee pale kimara baada ya kustafu alilamba milioni zake kadhaa akajenga fremu kibao za kisasa.

Hajakaa sawa mZiLaNkeNdE akaanza kubomoa nyumba pale kimara

Kuna like ghorofa pale stop over haijaisha hadi wanadai mzee alipanda juu atajitupa chini ikawa mwisho wa mchezo.

Mwengine huyu mzee wa miaka 70+ mstaafu wa serikali cheo kikubwa tu Ile 2015 wakati wa kampeni nilikaa nae ananiuliza kijana unataka nani ashinde nikamwambia mzee Bora mamvi apite ila sio huyo jamaa mwingine mzee akacheka saaana na kuponda weew

Akasema vijana bhana hamjui tu hapa mZiLaNkeNdE ndio Yuko vizuri basi mi sikubisha sana.

Mzee alikuwa na nyumba zake za kupangisha pale kimara mZiLaNkeNdE akapita nazo zote [emoji1]

Mzee alikuja ambulia mabati na grill za madirisha Hela ya kustaafu

Siku hizi hataki hata kumsikia mZiLaNkeNdE [emoji1]
Daaah,umenifanya nicheke sanaaa
 
Binafsi bi mkubwa aliomba kustaafu 6 years before akaona afanye biashara ..kapata mafao yake na mpaka leo biashara aliyoanzisha ipo na anapata riziki kama kawaida tena zaidi ya mshahara aliokuwa anapata na hakuwahi kufanya biashara zaidi ya kuuza visheti na ubuyu kwa wanafunzi hakuwahi mshirikisha mwanae yyte nn atafanya akistaafu aliamua tu kuacha kazi afanye biashara ..so inawezekana ukiamua focus na kuweka effort na akili yako yote kwa kitu ulichodhamiria kufanya utatoboa na kufurahia uzee wako biashara inahitaji caringa na uaribu wa hali ya juu kama mtoto..
 
Back
Top Bottom