Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Teh teh teh ndio imeisha hiyo..
 
Wanataka kutengeneza kizazi cha kuwachukia mabeberu.

Kizazi ambacho wanasiasa watakitumia kama kichaka kutupia sababu za kushindwa kutekeleza majukumu yao.
 
Ni maagizo ya kipumbavu.

Lazima yatupiliwe mbali.
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
 
Mtaala hatengenezwi na mtu mmoja, inapitishwa na jopo la watu mbalimbali. Hii hofu ya siasa itatukwamisha hata kwenye mambo ya msingi
Hivi vile vitabu ndalichako alivyosema wameshaandaa SoMo lianze kufundisha mwezi wa Saba Ile haraka ilikua ya nini?

Hatua zote zilifiatwa kweli? Ndalichako alituangusha sana kwenye hili kuweka taaluma pembeni na kuingiza siasa.
 
Ni kipi ambacho kinakosekana kwenye somo la historia la sasa?
 
Profesa anafanya mambo yenye manufaa kwa nchi siyo kulipa fadhila kwa aliyemteua
 
Kila somo lina sehemu yake kwenye maisha hata kama sio sehemu ya taaluma ya baadaye ya muhusika

Mentality na mitizamo yetu inajengwa na jinsi tulivyokuzwa na kufundishwa

Ukimfundisha mtoto takata atakuja kuwa takataka

Ukimfundisha mtoto bangi, atakuja kuwa bangi tu

Historia iliyobuniwa vizuri inawajengea watoto positive mentality na patriotisms hata wakiwa wakubwa na viongozi kwenye jamii bila kujali taaluma
 
Kwamba wafundishe kuhusu mizimu ya mababu zetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…