Jiwe akuambie kitu ukataeIla Profesa Ndalichako aliyapokea maagizo kwa heshima na unyenyekevu mkubwa! Ilikuwaje alishindwa kumshawishi Bosi wake kuhusu huo upuuzi!
Na kama Bosi angemkatalia, si angejiuzulu! Au kukubali kufukuzwa Uwaziri na ikibidi hata Ubunge wake wa kuteuliwa kwa heshima! Ila kwa sababu ya njaa, akaamua kuweka taaluma yake pembeni na kuamua kupokea kila aina ya maagizo! Yakiwemo haya ya hovyo!
Njaa na unafiki ni vitu vibaya sana.
Ina maana hujui tulipotoka na hujui tuko wapi?Somo la Historia ni kutuwezesha kujua tulikotoka na tulipo kwa sasa ili tujue tunakokwenda kama ni sahihi kama nchi na kama dunia. Vijana wetu wa sasa hawajui tulikotoka. Na sasa ndiyo ma DC na RC wetu, tutegemee watatupeleka wapi kama si kule akina Chalamila na Ole Sabaya walikokuwa wanatupeleka licha ya kuwa na madigiri ya uzamifu? Hata akina Ndalichako ni wale wale.
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni
Acha kuwa kilaza wewe, SoMo la historia elimu ya msingi tu inatosha kumfanya mtu kuijua historia ya nchi. Hata nyimbo za mchakamchaka tu zinatosha kumfundisha mtu historia ya nchi, hilo somo uchwara halina jipya, labda useme ni kipi usichokijua kuhusu Tanzania ili tukusaidie ukijue. Usisapoti ujinga wa kuwaongeKujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
Hilo SoMo ni upuuzi tu, historia ya Tanzania hata kupitia nyimbo za mchakamchaka mtu anajifunza. Kama Kuna kitu hukijui kuhusu Tanzania omba tukusaidie, sio kusapoti maagizo ya kipuuzi ya kuwaongezea watoto wetu mzigo.Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
Wamekatazwa / tumekatazwa ?sielewi content zingekuwaje ila ila sioni ubaya wa historia ya waafrika kuiandika wenyewe maana sehemu kubwa ya historia ya mwafrika iliyopo kwenye vitabu mashuleni inaanzia enzi za utumwa na ukoloni, hata hivyo kama kuiandika kwa sasa itakuchukua miaka zaidi ya kumi kufutilia kwa usahihi ,maana mtu aliyetawaliwa kwa miaka zaidi ya 400 na si kitu cha kwenda morogoro wiki kadhaa kama wanavyofanya Taasisi ya elimu na kuja na kitabu cha historia
Sasa ma wewe umeona calculuss ni hesabu ya kutishia watu. Hata aliyesoma hkl ukimfunfisha anaiielewa fasta kuliko ambavyo anaelewa vishazi"So sayansi ni utupolo tu"
sorry unamaanisha all scientist walioleata mabadiliki dunian walikariri text books?
nitakupa mfano : can you crame calculus?
Siku hizi mahaouse boy mkiiba simu za mabosi zenu mnasumbua sana JF.We kibushuti zaidi ya ualimu wako wa primary una nini cha ziada?
Kuandaa mtaala mpya ni sawa ila kufundisha kwa kiswahili hapana .Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, Profesa Ndalichako harakisheni huo mtaala mpya
kama ingekuwa hivyo vumbuzi nyingi zingefanywa na watu wa Hkl.Sasa ma wewe umeona calculuss ni hesabu ya kutishia watu. Hata aliyesoma hkl ukimfunfisha anaiielewa fasta kuliko ambavyo anaelewa vishazi
kwa hyo waliokuwa wanafundishwa ilikuwa ya uongo sio?Sio kweli ukifatilia hotuba zake nyingi alipozungumzia hiyo issue aligusia mambo ya zamani huko na ndiyo akawa anawaambia soma la historia liwe la lazima ili watoto wetu waje kuijua Historia ya kweli ya taifa letu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena
Somo la historia ya Tanzania lasitishwa
Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.
Source ITV news
==============
Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.
Source: ITV
Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Mm hili somo nimelisoma vzr sna hge na nilipasi vzur mno olevel nilisepa na A kbsa ilaajabu somo hili halina tija kwa sas kusoma halina tija hakikaWe utakuw a umesoma debit ma credit ambavyo siyo vigumu ukilinganisha na history. Hata tundu lisu alisoma hgl lakini ni mweledi sana. So sayansi ni utopolo tu ukiwa unaweza kukalili unaweza andika A zote
Yalikuwa maagizo ya hovyo kabisaHayati Magufuli naona kaangukia pua tena
Somo la historia ya Tanzania lasitishwa
Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.
Source ITV news
==============
Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.
Source: ITV
Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Exactly, imagine hata swala la Covid-19 tunahangaika kuunda tume, kwani hii nchi haina taasisi ambazo zina dhibiti uingizwaji wa dawa na chanjo nchini? Vipi mlipuko wa magonjwa mengine nao serikali hua inaunda tume?Prof Assad alikuwa sahihi aloposema, tujenge taasisi imara na sio watu imara sababu watu wanakufa na mawazo yao lkn taasisi zinaendelea.
[emoji3][emoji3] You made my day."Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" dadavua sentensi hii
Imagine kichwa kama kile, kuna majitu yalikua yanasema aongozewe mudaMbona sisi tulisoma hilo somo la history kwa ujumla na yote pia ya Tanzania mpaka kina Tiputupu, Mtwa Mkwawa na kadhalika kwenye menu..
Hii ya kuongeza liwe peke yake labda ni wale pumbavu wa mihemko waliotaka kusema rangi ya njano kwenye bendera iwe rangi ya dhahabu.
Wala sio kweliUkifatilia vizuri watanzania wengi hawana wanachokitaka ila ni wafata mkumbo tu.