Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Jiwe akuambie kitu ukatae
Hutaajiriwa popote Tz, wewe na ndugu zako na benki hutakuta kitu na kila mradi lazima TRA, NEMC,TBS waje
 
Ina maana hujui tulipotoka na hujui tuko wapi?
 
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni

Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
Acha kuwa kilaza wewe, SoMo la historia elimu ya msingi tu inatosha kumfanya mtu kuijua historia ya nchi. Hata nyimbo za mchakamchaka tu zinatosha kumfundisha mtu historia ya nchi, hilo somo uchwara halina jipya, labda useme ni kipi usichokijua kuhusu Tanzania ili tukusaidie ukijue. Usisapoti ujinga wa kuwaonge
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
Hilo SoMo ni upuuzi tu, historia ya Tanzania hata kupitia nyimbo za mchakamchaka mtu anajifunza. Kama Kuna kitu hukijui kuhusu Tanzania omba tukusaidie, sio kusapoti maagizo ya kipuuzi ya kuwaongezea watoto wetu mzigo.
 
Wamekatazwa / tumekatazwa ?

Hata wewe hapo leo unaweza ukaamua ku-dedicate muda wako na maisha yako kuchimba / kufuatilia na kuandika na kuweka records..., Kama purpose ya maisha ya wengi ni kutafuta pesa tu na kuangalia ni vipi watajaza matumbo yao unadhani vitu kama hivyo atavifanya nani ?

Andika wewe kama kinafaa na kikiwa authenticated na balanced hata mashuleni watakitumia kama reference
 
"So sayansi ni utupolo tu"
sorry unamaanisha all scientist walioleata mabadiliki dunian walikariri text books?

nitakupa mfano : can you crame calculus?
Sasa ma wewe umeona calculuss ni hesabu ya kutishia watu. Hata aliyesoma hkl ukimfunfisha anaiielewa fasta kuliko ambavyo anaelewa vishazi
 
Kama kuna mtu alimuua Mgufuli,atafutwe popote alipo awe mzima au amekufa APEWE TUZO YA AMANI YA NOBEL.
 
Na ndiyo maana ulikua unasuasua wakalimani hakuna...
 
We kibushuti zaidi ya ualimu wako wa primary una nini cha ziada?
Siku hizi mahaouse boy mkiiba simu za mabosi zenu mnasumbua sana JF.

Ingawa hiyo sio fani yangu ila Usidharau kazi za wenzako ,

Kumbuka Mwinyi alikuwa mwalimu wa praimari na akawa Rais wako unless ulizaliwa awamu ya nne hivyo huna unachojua zaidi ya hapo.
 
Aisee bora hivyo yaani walitaka kufanya watoto wetu wawe wapuuzi kwa kusomeshwa kwa kiswahili tena na yeye awemo,huku watoto wao wakienda kusoma shule za binafsi kwa kiingereza

Mimi sijawahi ona shule binafsi inayofundisha masomo yote kwa kiswahili.

Huu ndio uzalendo wa yule jamaa yenu
 
Kuandaa mtaala mpya ni sawa ila kufundisha kwa kiswahili hapana .

Ni kweli mambo ya Ghana Empire nk hayana maana tuweke ya kwetu but tufundishwe kwa kiingereza.

Waziri kasema wanaandaa mtaala mpya
 
Sasa ma wewe umeona calculuss ni hesabu ya kutishia watu. Hata aliyesoma hkl ukimfunfisha anaiielewa fasta kuliko ambavyo anaelewa vishazi
kama ingekuwa hivyo vumbuzi nyingi zingefanywa na watu wa Hkl.
watu wa arts wangeongoza kwa kufanya mapinduzi ktk sekta zote.

lakin hata chuo. hkl wangesoma engineering.
science ina class yake. usifanishe na masomo ya kukariri.

hata hkl ukimfundisha anaelewa fasta? kwann hawasomi?


ww hujawahi soma hesab yoyote.. both basic.. na advanced na application zake.
 
K
Sio kweli ukifatilia hotuba zake nyingi alipozungumzia hiyo issue aligusia mambo ya zamani huko na ndiyo akawa anawaambia soma la historia liwe la lazima ili watoto wetu waje kuijua Historia ya kweli ya taifa letu
kwa hyo waliokuwa wanafundishwa ilikuwa ya uongo sio?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
We utakuw a umesoma debit ma credit ambavyo siyo vigumu ukilinganisha na history. Hata tundu lisu alisoma hgl lakini ni mweledi sana. So sayansi ni utopolo tu ukiwa unaweza kukalili unaweza andika A zote
Mm hili somo nimelisoma vzr sna hge na nilipasi vzur mno olevel nilisepa na A kbsa ilaajabu somo hili halina tija kwa sas kusoma halina tija hakika
 
Yalikuwa maagizo ya hovyo kabisa
 
Prof Assad alikuwa sahihi aloposema, tujenge taasisi imara na sio watu imara sababu watu wanakufa na mawazo yao lkn taasisi zinaendelea.
Exactly, imagine hata swala la Covid-19 tunahangaika kuunda tume, kwani hii nchi haina taasisi ambazo zina dhibiti uingizwaji wa dawa na chanjo nchini? Vipi mlipuko wa magonjwa mengine nao serikali hua inaunda tume?

#Bado tunasafari ndefu sana.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Imagine kichwa kama kile, kuna majitu yalikua yanasema aongozewe muda

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…