Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa una kisugar mkuuAsante mkuu, ila kidonda ni kikubwa sana unaweza kunielekeza na tiba nyingine mbadala kwasababu hostptal zote nimemaliza bila mafanikio yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh kitwange changanya na asali kisha pakaAsante mkuu, ila kidonda ni kikubwa sana unaweza kunielekeza na tiba nyingine mbadala kwasababu hostptal zote nimemaliza bila mafanikio yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana sukari kabisa nimeshafanya vipimo vyote hana hata kansa.itakuwa una kisugar mkuu
Toa ushuhuda kwa faida ya wengi.Ni kweli vinasaidia sana..kiafya nina ushuhuda navyo
Vimekusaidia nini?Naunga mkono uzuri wa kitunguu saumu nashauri watu wavitumie kwa wingi kwa upande wangu vimenisaidia sana.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mimi kwa upande wangu vimenisaidia katika allergy/mzioToa ushuhuda kwa faida ya wengi.
Tunaomba Fafanua kidogo Kaka MshanaIko hivi kila ukilala tafuna kipande cha kitunguu saumu halafu lala na kipande cha ndimu...vinaweza kufunuka vingi vilivyofunikwa kitambo...yaani ni sawa na kuamshwa kwenye usingizi mzito...jus give it a try
Maisha marefu bro,iko siku nitakutafuta maana majanga mtaani yamezidi.For the best results visage au tafuna
Maisha marefu bro,iko siku nitakutafuta maana majanga mtaani yamezidi.
Sent using Jamii Forums mobile app