Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Narudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana

Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana

Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael

Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,

Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa

Ndivyo lilivyo taifa la Israel!

Ilionekana ni kama kituko cha karine alichokifanya Israel baada ya yale mabomu yaliyotumwa kutoka Irani, Israel alichojibu ni kutuma kitufe fulani hivi ambacho Wairan walikicheeeka kwa dharau zote, wasojue ndani yake kilibeba nini!

Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani

Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?

Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?

Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado Dunia inakosa majibu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi

Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka

Tulioko Vikindu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
 
Narudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana

Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana

Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael

Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,

Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa

Ndivyo lilivyo taifa la Israel!

Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani

Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?

Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?

Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado vimekosa majibu kwa walimwengu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi

Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka

Tulioko Vikundu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
Waarabu wakija kushtuka asilimia kubwa watakuwa tayar wanabarizi huko kuzimu.
 
Narudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana

Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana

Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael

Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,

Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa

Ndivyo lilivyo taifa la Israel!

Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani

Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?

Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?

Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado vimekosa majibu kwa walimwengu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi

Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka

Tulioko Vikundu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
Mwambie marekani na NATO waondoke mashariki ya kati halafu uone Isreal anavyohamia mazenzese
 
Narudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana

Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana

Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael

Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,

Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa

Ndivyo lilivyo taifa la Israel!

Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani

Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?

Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?

Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado vimekosa majibu kwa walimwengu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi

Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka

Tulioko Vikundu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
kuwashinda inawezekana tena asubuhi tu kama kama mpambano ukiw ni israel vs hamas tu au israel vs hezbollah tu...USA na NATO wakae mbali
 
Narudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana

Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana

Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael

Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,

Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa

Ndivyo lilivyo taifa la Israel!

Ilionekana ni kama kituko cha karine alichokifanya Israel baada ya yale mabomu yaliyotumwa kutoka Irani, Israel alichojibu ni kutuma kitufe fulani hivi ambacho Wairan walikicheeeka kwa dharau zote, wasojue ndani yake kilibeba nini!

Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani

Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?

Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?

Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado Dunia inakosa majibu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi

Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka

Tulioko Vikindu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
Huu uongo wa kudai Israel imehusika na kifo cha Ibrahim Raisi bado mnaushukilia tu!??
Netanyahu mwenyewe amkekiri kuwa Israel hausiki ila wewe bado unashikilia.
Aisee utakua na tatizo la akili.
 
Huu uongo wa kudai Israel imehusika na kifo cha Ibrahim Raisi bado mnaushukilia tu!??
Netanyahu mwenyewe amkekiri kuwa Israel hausiki ila wewe bado unashikilia.
Aisee utakua na tatizo la akili.
Katikakti ya mgogoro wa kivita halafu kutokee kifo cha mauzauza unadhani tuiteje sisi?

Wewe unadhani ule ukungu uliibuka tu na kivamia ndege moja tu kati ya zile zilikuwa kwa msafara?
 
Screenshot_20240918-130551~2.png
 
Katikakti ya mgogoro wa kivita halafu kutokee kifo cha mauzauza unadhani tuiteje sisi?

Wewe unadhani ule ukungu uliibuka tu na kivamia ndege moja tu kati ya zile zilikuwa kwa msafara?
Lile eneo lina asili ya ukungu kulingana ni sehemu ya miinuko sana.
Wala ukungu haukusababishwa na mtu.
Usitake kuanza kudanganya watu brothee.
 
Mwambie marekani na NATO waondoke mashariki ya kati halafu uone Isreal anavyohamia mazenzese
Yani kwa waarabu,..........,,bora hata muajemi...waarabu mdebwedo tu wanachojua kucheza vidufu na kula nyama ya ngamia ndo maana wazungu wanajua kuwachezea sababu waarabu wengi hawajitambui na ni wabinafsi sana hata kwa wao kwa wao
 
Hezbollah pager operation casualty update:
  • 4,000 Hezbollah injured.
  • 400 in critical condition.
  • 18 High-Ranking commanders injured.
  • 500 plus lost their eyesight
  • 11 Hezbollah dead.

Middle East inaenda kuwaka rasmi.
Kule wala mirungi wa Yemeni washajisogeza hadi Syria.
Wacha tusubiri supu ya 🐥 kwio ikiwa inatokota taratiibu.
 
Yani kwa waarabu,..........,,bora hata muajemi...waarabu mdebwedo tu wanachojua kucheza vidufu na kula nyama ya ngamia ndo maana wazungu wanajua kuwachezea sababu waarabu wengi hawajitambui na ni wabinafsi sana hata kwa wao kwa wao
Waarabu hawajitambui. Baada ya kufata Quran wanawafata wa magharibi
 
Back
Top Bottom