Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

So, me being me...nime-notice kitu kwenye hii habari.

Alichokifanya huyu dogo na wenzake ni 'discovery'. Sasa basi, 'discovery' na 'invention' ni kitu kile kile ama ni vitu viwili tofauti?

tofauti
invention ni kuanzisha kitu upya
discovery unaweza sema hata ku upgrade cha mwingine
 
Wanakupa..unafiki ugonjwa mbaya sana...unafiki na njaa pata picha

Unafiki+njaa ni combo mbaya sana. Mtu naweza hata kumwuza nduguye.

Ila umenichekesha sana aisee.

Unajua watu wako entrepreneurial sana ila kwenye sehemu zisizo....(just to put a positive spin)
 
Umenikumbusha masheikh wa BAKWATA wanajifanya wanatafuta scholarship kwa waislam wakipata wanauza kwa yeyote mwenye pesa.....huku wakiendeleza "siasa za nchii hi waislam wanaonewa"

😛eep: ...............:A S 109:................:hail:
 
..kuhusu kuwa kichwa Azania kulikuwa na vichwa vya ukweli hakuingia hata top 20 unaweza kuona kama wote wangepata nafasi ya kwenda kusoma nje tungekuwa na scientist wangapi huko duniani by now....
Mkuu The Boss, asante. Nakubaliana na wewe, ila pia kuna aina mbalimbali za vichwa, na mazingira tofauti ya ukichwa, wengine walikuwa vichwa nursery, wengine tulikuwa vichwa primary, wengine sekondari, wengine chuo!.

Na wengine ni vichwa kwenye mazingira fulani, mfano kichwa wa good learning environment kama za ulaya, kula vizuri, kulala vizuri, vifaa vya kisasa etc, ukimleta Manzese, ni kilaza tuu!.

Thanks.

Pasco
 
Bongobserikali scholarship kwa majina.

Kuna watu walikuwa wanazikalia scholarships mpaka zina expire.

Kwa sababu tu hawakuwa na "watu wao" wenye majina kuwapa.

Hata scholarship za Urusi,Eastern Europe,Cuba,China zilikuwa inshu pale wizarani...kulikuwa na mzee mmoja anaitwa Kinunda...sijui bado yupo?
 

- Saafi sana hawa ndio wanafaa KUPEWA uraia pacha

Le Big Show
 
Sasa Huyu Bw.Kikwete Si angerudi naye ampe Fedha Afungue hiyo Biotech spinoff Hapa Bongo? VX8 40 Tu zinatosha! Tuanze kutibu Ebola badala ya kubambikiziwa na Wazungu Kila Siku!
 
The article is grossly misleading in aggrandizing Asanterabi's role as if he single-handely invented the device. Hakuvumbua hiyo makitu pekee yake. The product is a result of collaborative effort with other scholars at North Eastern including his professor. Hata hiyo kampuni waliyoanzisha wapo wasomi wote waliochangia
 
Yani mimi nimepata mshtuko mkubwa baada ya kusoma post ya mtu anaitwa FaizaFoxy hadi nimepata tumbo la kuharisha nimetoka haja ndo nimerudi.
Sikutegema kama habari hii njema ya Dr.Malima kama ingegeuzwa kuwa sehemu ya mihemko ya maneno makali kiasi hichi.
Udini ni utumwa jamani.
 
Last edited by a moderator:
Asanterabi Malima



CEO/President and Co-Founder at Biolom


Greater Boston AreaNanotechnology




Current
  1. Northeastern University,
  2. Biolom
Previous
  1. Northeastern University,
  2. Center for Highrate Nanomanufacturing,
  3. Sabanci University
Education
  1. Northeastern University
Recommendations2 people have recommended Asanterabi
asantemalima.com
 
View attachment 177081
Si ndio huyu, ngoja na mimi nianze kula madafu!
[TABLE="class: infobox biography vcard"]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Born[/TH]
[TD] 30 September 1979 (age 34)
Dar es Salaam, Tanzania[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Nationality[/TH]
[TD="class: category"]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Alma mater[/TH]
[TD]Osmangazi University (BSc)
Sabancı University (MSc)
Northeastern University (PhD)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Parents[/TH]
[TD]Kighoma Malima[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Relatives[/TH]
[TD]Adam Malima (brother)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Website[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]asantemalima.com[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Najiuliza sipati jibu hivi inakuwaje Great Thinker anaweza kuhusisha Elimu na Dini ya mtu.
Uzi huu toka ulipoletwa na mleta mada in a smart way alionyesha dalili ambazo kwa tafsiri yangu ni aina fulani ya mchezo [game] ambao unazaa question mark pale alipo mcc faizafoxy.

Tafsiri yangu binafsi ambayo kwa waerevu wanaunga dot.
Kitendo cha mleta mada kumcc Faizafoxy kwa jambo linalo husiana na mtoto wa marehem Malima ni ishara ya mambo makuu mawili.
1: Faizafoxy ni shabiki sana wa mijadala ya udini ambayo inashabiana na siasa za Taifa.
2: Ni mnazi wa kujadili ushindani wa taaluma unaoangalia sana mwenye taaluma husika ni muumini wa dini ipi.


Kijana Malima ni Mtanzania kama watanzania wengine,kitendo cha mafanikio yake kujadiliwa na kuyapa sura za kiushabiki wa udini badala ya mjadala kuangalia changamato za mafanikio yake na kuona mtanzania mwingine atapataje fursa kama aliyopata Asanterabi.

Majadliano ya mafanikio au upeo aliofika Asante yanaweza kwenda mbali kwa kuangalia historia yake, wazazi wake, shule alizosoma, marafiki zake waliomzunguka na mengineyo, lakini pale watu wanapovuka mipaka na kuangalia angle ya dini ni UFANATICISM.

Malima Yes na ndio alikuwa Muumini wa dini ya Kiislam, kama imani yake ya kumcha Mungu wake hapa duniani. Elimu na dini ya mtu vinauhusiano gani kiasi cha kusema dini yake ndio msingi wa mafanikio yake na kuwa kwa mafaniko hayo basi ubora wa dini ndio shina la kujadiliwa kweli na great thinkers hapa jukwaani.

Ukweli wwa wengine tunaumia sana kunapoibuka mijadala ya dini isiyokuwa na A wala BE. Sie wengine tumezaliwa unakuta Baba yako mdogo ni Sheikh wakati Shangazi yako ni Sister na Mjomba wako ni Pastor na wote mnakula na kulala pamoja kama familia moja, tena familia yenye mshikamano wa ajabu.

Mimi kama ni mjadala ajadiliwe kijana Malima kwa angle zenye mashiko ,nani asiyejua kuwa Marehem Malima alikuwa bright na kama alikuwa bright kizazi chake kama ni matokeo ya vipimo vya kisayansi basi hata Asanterabi anauwezo mkubwa tu kuwa bright hata zaidi ya Baba yake [Wanasayansi wanasema 80% ya akili ya mtoto ni ya Kurithi wakati 20% ni akili ya anayopata kutokana na mazingira yanayomzunguka.].Sasa udini hapa na akili ya Asanterabi vinatoka wapi hasa wale wachangiaji wahusudisha udini?


OMBI KWA MODERATORS NA THINKERS WA JF.
Tufike sehemu moderators na Great Thinkers wote kwa umoja wetu tuwe SENSITIVE na swala la UDINI kwenye mada za SIASA, SCIENCE au mada toka angle yoyote isiyoshabiana na kutokana na mjadala DINI kama Mada kwa uzito wa hoja anzishwa.

Mode ni vyema ukaibuka utamaduni wa kupigaban na mpigwaji akionekana kudumu kwenye tabia hiyo basi apigwe TOTAL BAN aludi kwa ID nyingine, na kwa kuwa jasili aachi asili atajitokeza tu ale TENA BAN.Kuna wengine humu wameshakuwa na majina makubwa kula TOTAL BAN na kuja kwa jina jipya UKWELI ITAWACOST MNO hivyo watajiheshimu na kubehave kama GREAT THINKERS.

Jukwaa linawakilishwa kada fulani kubwa ya mchanganyiko wa Watanzania wengi, wenye umri mkubwa, umri mdogo, wanawake, wanaume, vijana, wazee, walioa, ambao awajaoa, Wakristu, Waislam, Hindu, Dini za jadi, na wengineo wengi wakiwemo wasio na dini.

Sasa kuendelea kuendekeza tabia ya kuruhusu majadiliano ya UDINI kwa sura za namna hii, TUNATENGENEZA CHACHU ambayo POLEPOLE inazaa ISHARA MBAYA!!!

Nisivyo na ITIKADI ya vyama vya siasa, ndivyo vivyo vivyo mimi nisivyo penda UTUMIAJI HOJA ZA DINI. Binafsi nina IMANI ya DINI yangu, ambayo kwa malezi nimelelewa na kuzungukwa na dini zingine nikiona ni sehemu ya MAISHA yangu.Ukifika wakati wa kumsujudia MUNGU kila mmoja anamsujudia kwa IMANI YA DINI YAKE , kwenye dhehebu lake, bila bughudha wala kero toka kwa Mwanafamilia, tena wanafamilia wanatoa msaada kuona azima yake ya kumtumikia MUUMBA wake kwa IMANI yake INATIMIA kupitia mikono ya na maombi ya wanafamilia.

Siku moja nilikwenda kwenye nyumba moja ya ibada nikakuta familia moja maalufu kwenye Biashara na Medani ya Soka na Michezo ambayo kiimani ni waumini wa Dini tofauti na eneo husika lakini kwa utamduni wa malezi yao, wako pale kama wanafamilia kujumuika na MDOGO WAO ambae ni muumini wa dhehebu tofauti na wao tena akiwa ni KIONGOZI ambae alikua amekuja toka MKOANI kwa ajili ya SEMINA YA KIDINI kwenye dhehebu moja kubwa Tanzania.

Familia ile iliudhuria IBADA ile aliyokuwa anaendesha MDOGO wao na mwisho wa IBADA familia ile ya WANAMICHEZO NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA walipewa nafasi ya kujitambulisha na kusema machache na moja kubwa ni kuwa KIONGOZI huyo wa KIIMANI wa madhehebu hayo ya Kikiristo amefika pale kwa support ya wanandugu hao ambao binafsi wana DINI na wana sali dhehebu tofauti mdogo wao huyo ambae walikuja kumsupport kiimani wakati huo.

Picha ile ya Familia ya Wanamichezo hao ni Picha ya Familia nyingi sana za Kitanzania ikiwemo yangu pia.Tukikutana kama familia uwezi tambua kuwa yupi ni muumini wa dini au dhehebu fulani.

MODE, SWALA LA UDINI LIWE NA UKOMO TAFUTA JIBU.
Tusitambuane kwa UDINI humu.....
 

Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things that he's claimed to have done all by himself through superior intellectual prowess and sheer individual efforts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…