Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery


Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things he's claimed to have done all by himself through superior individual intellectual prowess and efforts.
 
Kwa hiyo malima alikuwa mmachame? maana asanterabi ni majina ya kichaga tena wamachame
 

.............True, true broada. Live simple and enjoy the best!
 
Only this media will turn him politician! Who cares in Tanzania if prominent prof runs for politcal positions!
huyo tumkwapue haraka arudi home na tumpe kitengo chenye maslahi bora kwenye hospitali zetu, wamarekani hawachelewi kumbembeleza achukue uraia wao ili awe mmarekani afanye kazi hukohuko atibu watu wa hukohuko. aje atibu watz na afundishe watz wafike alipofikia yeye.
 
Naona umeandika maneno mengi sana ni kweli mambo ya udini siyo mazuri kwa mustakabali ya nchi yetu.

Wewe ni mkongwe humu jamvini ukiweka ushabiki pembeni utaona watu ambao wanaopewa kashfa na dhiaka humu JF ni Waislam, mpaka FaizaFoxy kuandika hayo siyo kama kakosea amejibu kashfa za Wakirsto humu JF dhidi ya Waislam, mara nyingi Waislam ndiyo uwa wanajibu kashfa hizo na wanaonekana wadini.

Mkuu uwa unakuwa wapi Waislam wanavyofanyiwa vitendo vya udini humu JF kutoa maoni yako.
 
Last edited by a moderator:
Big up Kijana kwa kuitumia fursa.Umesoma,ukaelimika ukaja na kitu chako chenye manufaa kwa jamii nzima.
Sasa kuwa makini na media za wayahudi hawachelewi kusema we ni Myahudi mweusi!!

Religion has nothing to do with one's intelligence'
 
Reactions: DSN
Huyo ni co-founder wa kampuni na co-inventor wa hiyo technology. He didn't achieve the things he's claimed to have done all by himself through superior individual intellectual prowess and efforts.

Did they invent or discover?
 
Napingana nawe kuwa wakristo wanawadhihaki waislam. Unafahamu kuna wakristo wangapi katika jukwaa hili? Unafahamu kuna waislam wangapi katika jukwaa hili? Kwa kuzingatia idadi ya waislam na wakristo waliopo katika jukwaa hili, unaweza kukadiria ni waislam na wakristo wangapi walio na akili za kipuuzi ambao mitazamo yao imekaa kidini dini wakati wote?

Mnaoshabikia udini mpo wachache sana kwenye jukwaa hili, na mnaweza kutajwa kwa majina. Tulio wengi tunaamini kuwa binadamu wote huzaliwa wakiwa sawa kwa maana ya kwamba hakuna ambaye huzaliwa na tofauti fulani kutokana na dini yake. Makuzi katika mazingira ovu huwaharibu na kuwabadilisha wanadamu.

Sitashangaa hata watoto wa wadini waliopo hapa jukwaani nao watakuwa hivyo hivyo, lakini hawakuzaliwa hivyo bali wameharibiwa na wazazi wao.

Msimdhalilishe mtalaamu Malima, na kama angepata nafasi ya kuwasikia hawa wadini nadhani hakuna jibu ambalo angewapa zaidi ya kuwadharau na kuwaona wamepungukiwa. Malima siyo mdini, amethamini na kuzingatia maarifa, ameenda popote anapoweza kujifunza maarifa, bila ya kujali kama anajifunza kutoka kwa Myahudi, Singasinga, Mkristo, Muislam au mpagani. Waliopungukiwa kabla hajapeleka mtoto wake shule anaanza kujiuliza kwanza, 'shule inamilikiwa na mtu wa imani gani na ya namna', badala ya kuzingatia ubora.

Tanzania itasonga mbele, na kuwafanya watu wake wawe na maisha mazuri endapo tu kila mmoja (bila ya kujali itikadi yake, imani, kabila au rangi)atapewa nafasi ya kutumia kipaji, elimu na ujuzi wake kulijenga Taifa.

Nalaani wadini wote.

Kwangu mimi anayeongelea suala la dini kama kigezo cha ubinadamu zaidi na haki zaidi, hakuna neno bora limfaalo kumwita. Nchi ni yetu wote, imani ni yako moyoni, uiache humo humo wala usiifanye kuwa ndiyo dira ya Taifa. Mtu unakuwa makini au mnyonge kutokana na uzembe, jitihada au kipaji ulichopewa au kunyimwa na Mungu, na wala siyo kutokana na dini yako.

 
Last edited by a moderator:

Haaaahaaa Kazi ipo...mbona umeamua kucheua nani kabana pumzi mkuu!
 
Mkuu umesahau,pia Ngomani mnawakimbiza balaa.
 
Wewe kwako mtu yoyote Muislam ndiyo mdini kwako hakuna Mkirsto mdini umeandika pumba nyingi mno.
 

I rarely agree with you but with this one you are right on the money!
 
Hivi kila mvumbuzi dunia hii angejinasibisha kwa kigezo cha dini basi ingekuwa balaa. Watu wazima wanangea upuzi wa dini!!! HONGERA MALIMA
 
Usimwonee wivu bwana mpe haki yake kwenye academics mwenye kuanzisha concept ndiyo author wengine wana shiriki tu lakini first author heshima yake inabaki pale pale......

Professor na wengine ni promoters tu otherwise asinge tuzwa yeye!
 
Ahahahaaa daaah! That's classic man.

Kwa hiyo hata mimi nisiye na dini kama ningewapa mshiko wangenipa scholarship?

Aisee njaa bana...

Mbona hawakusifii wewe gwiji wa IT? Ngoja nijitahidi CDM ikiingia madarakani tutakutunuku tuzo maalumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…