johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Basi la mkoa gani bwashee wanakalia hadi vindoo.Siku hizi unakuta magari ya mikoani yamejaza hadi abiria wengine wamekalia vile vindoo vya dustbin na wala hawaogopi trafiki. Sasa ikitokea ajali kama hii mtoa roho anaanza na wewe.
Nijuavyo hayo mambo ilikuwa zamani sana!