tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hii ajali mbaya sana itakua imeua sana mana mpka roof imekatika,mungu awafanyie wepesi majeruhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde.
===================
Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 Mkoani Songwe wakati likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali za mashuhuda waliopo eneo la tukio zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi.
Ofisa Mmoja wa Kilimanjaro Express amekiri kutokea kwa ajali hiyo lakini hakuwa tayari kuelezea kiundani kwa madai siyo msemaji wa kampuni. Juhudi za kumpata RPC wa Songwe, Janeth Mgomi zinaendelea ili kupata ripoti kamili.
Ripoti kamili ya tukio hilo itafuata muda si mrefu...
View attachment 2149697
View attachment 2149696
View attachment 2149698
Mbona picha inaonyesha gari limeanguka 2kms kutokea main road. Ni nini kimetokea?Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde.
===================
Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 Mkoani Songwe wakati likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali za mashuhuda waliopo eneo la tukio zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi.
Ofisa Mmoja wa Kilimanjaro Express amekiri kutokea kwa ajali hiyo lakini hakuwa tayari kuelezea kiundani kwa madai siyo msemaji wa kampuni. Juhudi za kumpata RPC wa Songwe, Janeth Mgomi zinaendelea ili kupata ripoti kamili.
Ripoti kamili ya tukio hilo itafuata muda si mrefu...
View attachment 2149697
View attachment 2149696
View attachment 2149698
Maana ndo anapelekea mabus meeengi sana maeneo hayo labda nae anatumia ndagu kama mnavyoamini wabongo wengi mambo ya ndagu. Kuna jamaa kasema mabus yanayoenda maeneo hayo wanatumia ndagu ndo nikamtajia Newforce maana ndo anapeleke gari nyingi uko.Newforce mchina na ndagu zenu za kibongo , wapi na wapi ?
Nyanda za juu kusini kuna mizigo mingi sana kuja Dar.... ukipeleka single diff kila siku utagombana na abiria au utapigwa faini mizani. Ndio maana wanaepeleka double diff. Wengi waliojaribu na single waliishia kuchemka. Kila abiria na kiroba cha mchele na cha ndizi.Bus ya abiria, differential mbili za kazi gani hasa?
Tunduma-dar ni kama 935km! Hebu nitajie bus yenye diff zaidi ya moja inayoanzia dar kwenda bukoba 1400+ km!
Unamaanisha terias?Nyanda za juu kusini kuna mizigo mingi sana kuja Dar.... ukipeleka single diff kila siku utagombana na abiria au utapigwa faini mizani. Ndio maana wanaepeleka double diff. Wengi waliojaribu na single waliishia kuchemka. Kila abiria na kiroba cha mchele na cha ndizi.
Unatakiwa ujue sio kila ekseli ya nyuma ni diff!Nyanda za juu kusini kuna mizigo mingi sana kuja Dar.... ukipeleka single diff kila siku utagombana na abiria au utapigwa faini mizani. Ndio maana wanaepeleka double diff. Wengi waliojaribu na single waliishia kuchemka. Kila abiria na kiroba cha mchele na cha ndizi.
single diff zzinaenda Musoma-Dar sembuse hapo tunduma tu?kilimanjaro unapeleka single diff mbali kote huko! uhuni huo
Wakati mwingine abiria mkiona basi liko ndivyo sivyo mnachukua maamuzi yenu wenyeweEtiee nyie abiaria mnachukua hatua gan.. ??unazungumzia Tanzania ipi Hii ya vi wonder au?? Askar asimamishe gari aingie ndan na asichukue hatua au asimamishe na asiingie ndaniii??
Hayo mascania ni imara Sana Mchina route ndefu linakufa ndani ya muda mfupi, Scania ina roho ngumu na mizigo yanabeba na mizani hayasumbui!Mabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi.
Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki.Magari yenyewe mengi ya Kilimanjaro yalianza maisha kama LGV trucks huko anaponunua Sawaya akishayaleta bongo anayabadili kuwa mabasi na body anaunga mwenyewe.
Sasa upande basi kama hilo ambalo lipo zaidi ya 10 barabarani na njia zetu hizi; si suicide mission hiyo. Huu utaratibu wa kununua LGV na kuyageuza mabasi na wenyewe ushapitwa na wakati, sidhani kama Kilimanjaro wana bus ambalo lilinuliwa original likiwa basi.
Nimesema hapa hayo mabasi mabovu mabovu sana lakini mshana jr anabisha!Magari yenyewe mengi ya Kilimanjaro yalianza maisha kama LGV trucks huko anaponunua Sawaya akishayaleta bongo anayabadili kuwa mabasi na body anaunga mwenyewe.
Sasa upande basi kama hilo ambalo lipo zaidi ya 10 barabarani na njia zetu hizi; si suicide mission hiyo. Huu utaratibu wa kununua LGV na kuyageuza mabasi na wenyewe ushapitwa na wakati, sidhani kama Kilimanjaro wana bus ambalo lilinuliwa original likiwa basi.
Hawa watu hawapo kwenye hii kitu ya usafirishaji na hawaelewi chichote kuhusu magari. Ndiyo sababu walio wengi hununua magari kwa namba za usajiri. Gari ikishakuwa namba D hana tena uelewa wa kuchunguza mambo mengine.Hayo mascania ni imara Sana Mchina route ndefu linakufa ndani ya muda mfupi, Scania ina roho ngumu na mizigo yanabeba na mizani hayasumbui!
Pole SANA kwa wahusika! Daah
Atakuwa kauziwa na Dar express!Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819
Na hang over za weekeendKuna mtu kasema humu chanzo cha ajali ni over take.na inaonekana sehemu aliyochagua dereva kuovertake sio nzuri.
Hilo eneo lina ajari nyingi sanaAisee ni senjele /senjere hapo bila shaka. RIP kwa wote hiyo ajali ni kubwa sana kwa gari ya abiria