MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Hiyo ni lugha nyepesi ya mtaani.... jina lake hasa ni tag axle.Unatakiwa ujue sio kila ekseli ya nyuma ni diff!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni lugha nyepesi ya mtaani.... jina lake hasa ni tag axle.Unatakiwa ujue sio kila ekseli ya nyuma ni diff!
Yap... bila hiyo basi linakuwa tani 18... wakati wakiiongeza wanakuwa na tani 24Unamaanisha terias?
Mabasi original yatakuwa machache sio nahisi, mimi mwenyewe zama za kale in my early 20’s wakati naishi UK ndio nilikuwa nampeleka Sawaya kununua hizo 7.5 tonnes za mizigo anazogeuza mabasi, ma lorry yake ya masafa ya marefu, parts za magari yake hasa engines za Scania na tankers zake (ambazo nyingi wanazoleta huku, ulaya wanapotoa wanabebea maziwa, ndio maana zikianguka mafuta yanamwagika) tanker la mafuta lina bei na ngumu mafuta kumwagika ata likipinduka.Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819
Marcopolo za kilimanjaro hazijawa modified. Unless unaongelea mawazo yako binafsiMagari yenyewe mengi ya Kilimanjaro yalianza maisha kama LGV trucks huko anaponunua Sawaya akishayaleta bongo anayabadili kuwa mabasi na body anaunga mwenyewe.
Sasa upande basi kama hilo ambalo lipo zaidi ya 10 barabarani na njia zetu hizi; si suicide mission hiyo. Huu utaratibu wa kununua LGV na kuyageuza mabasi na wenyewe ushapitwa na wakati, sidhani kama Kilimanjaro wana bus ambalo lilinuliwa original likiwa basi.
Wabongo kila kitu wanajua mkuu 🤣 🤣 🤣Acha mambo ya kuhisi hisi. Kampuni ina bus mengi tu ya kuagiza ambayo hata kampuni zingine zinaota kuyamiliki. View attachment 2149819
Mjinga nani hapo Kati yako na konda?Mkuu,
Alhamis wiki iliyopita nilipanda kimotco mida ya Saa nane kasoro mchana, (nadhani ile inayotoka arusha), kutoka Dodoma kuelekea Iringa, abiria wenzangu walikalia mabegi yao kwenye kile kikorido cha kupita, wengine walikalia zile "arm rest", na wengine kusimama kabisa, pia yule kondakta alikuwa anaenda siti za nyuma anawaomba wakae watu watatu katika siti zilizotengenezwa kwa ajili ya kukaa watu wawili tu(muundo wa siti za basi hilo ni 2 by 2(2*2)). Na Bado njiani waliendelea kuchukua raia/abiria.Wakati wa kukata tiketi ukiuliza siti zipo wanakwambia zipo za kutosha.
Katika "Traffic Stops" zote kutoka dodoma mpaka ninafika iringa hakuna polisi alieingia ndani ya basi. Mwana usalama pekee alieingia ndani ni afisa wa uhamiaji pale mtera basi.
Haya mambo yapo na yanaendelea.
Hii gari ilikuwa na bima? Majeruhi wanatibiwa kwa Gharama ya bima au mwenye bus au Serikali?Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde.
===================
Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 Mkoani Songwe wakati likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali za mashuhuda waliopo eneo la tukio zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi.
Ofisa Mmoja wa Kilimanjaro Express amekiri kutokea kwa ajali hiyo lakini hakuwa tayari kuelezea kiundani kwa madai siyo msemaji wa kampuni. Juhudi za kumpata RPC wa Songwe, Janeth Mgomi zinaendelea ili kupata ripoti kamili.
UPDATES;
Watu wanne wamefariki papo hapo huku wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la Kilimanjaro Express lililopindukia korongoni eneo la Senjele wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Rashid Ngonyani amesema ajali hiyo imetokea saa moja asubuhi baada ya dereva wa basi la Kilimanjaro Express kuwa kwenye mwendokasi na kutaka kuyapita magari mengine yaliyokuwa mbele yake.
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amesema majeruhi wote 36 wanaendelea vizuri ambapo kati yao saba wamelazwa Hospitali ya Wilaya ya Mbeya na wengine 28 wakitibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe
View attachment 2149697
View attachment 2149696
View attachment 2149698
View attachment 2149968
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Maumba alimjulia hali miongoni kwa majeruhi wa ajali ya basi kampuni ya Kilimanjaro, Yusuph Ramadhan ambaye yeye na wenzake sita walikimbizwa katika Hospitali Teule ya Ifisi iliyoko mkoani Mbeya. PICHA: Grace Mwakalinga, SONGWE
View attachment 2149979
Sasa nauli ikiwa kubwa hamtaki kulipaNi kweli kabisa Aboud mabasi mabovu anayapeleka Mbeya na Tunduma!
Tunduma kuna visu vya uhakika.Sasa nauli ikiwa kubwa hamtaki kulipa
Basi jipya huwezi peleka route ya wataka nauli ndogo hailipi
Basi la zamani linakuwa Walau pesa ilisharudi kupitia route fupi.Likichoka unapeleka route ndefu kwa wabahili waishie nalo
Mabasi mazuri route ndefu kubali kulipa nauli kubwa.Mbona yapo
Klm exprss ni Maasai siyo mchagaKwani Warombo na Wakinga wana tofauti gani?
Wote wanafuga misukule!
Yaani route kutoka sumbawanga to Tunduma Hadi dar mabasi hayana ustaarabu Hata kidogo hii tabia ya kupanga ndoo njiani kuanzia seat ya nyuma Hadi mbele nimeshangaa Sana aiseee.. gari linajaza Sana na trafik Hata wachukui hatua... Igeni mikoa ya Arusha na Moshi gari ikiwa level seat it's enoughSiku hizi unakuta magari ya mikoani yamejaza hadi abiria wengine wamekalia vile vindoo vya dustbin na wala hawaogopi trafiki.
Sasa ikitokea ajali kama hii mtoa roho anaanza na wewe.
Anaangalia na wateja.Ni kweli kabisa Aboud mabasi mabovu anayapeleka Mbeya na Tunduma!
Labda mmasai mwenye jina la kichagaKlm exprss ni Maasai siyo mchaga
Bus ya abiria, differential mbili za kazi gani hasa?
Tunduma-dar ni kama 935km! Hebu nitajie bus yenye diff zaidi ya moja inayoanzia dar kwenda bukoba 1400+ km!
Sifa ya basi kuwa bovu ni zipi? Hebu tusaidie bwana mtaalamHayo mabasi mabovu mabovu sana.
Hata hilo single diff linaonekana kabisa ni mkweche.
Hiyo inatumia nguvu ya injini au ni kusapoti chesis tu?Hiyo ni lugha nyepesi ya mtaani.... jina lake hasa ni tag axle.
Mkuu.Yaani route kutoka sumbawanga to Tunduma Hadi dar mabasi hayana ustaarabu Hata kidogo hii tabia ya kupanga ndoo njiani kuanzia seat ya nyuma Hadi mbele nimeshangaa Sana aiseee.. gari linajaza Sana na trafik Hata wachukui hatua... Igeni mikoa ya Arusha na Moshi gari ikiwa level seat it's enough