MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Hiyo ni ku-support to chasis, ingawa kuna mabasi ya kisasa zaidi ambayo hiyo axle inakata hadi kona piaHiyo inatumia nguvu ya injini au ni kusapoti chesis tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni ku-support to chasis, ingawa kuna mabasi ya kisasa zaidi ambayo hiyo axle inakata hadi kona piaHiyo inatumia nguvu ya injini au ni kusapoti chesis tu?
Matrafiki wenyewe huwa wanakagua mabasi ambayo hayana majina makubwa.Yaani route kutoka sumbawanga to Tunduma Hadi dar mabasi hayana ustaarabu Hata kidogo hii tabia ya kupanga ndoo njiani kuanzia seat ya nyuma Hadi mbele nimeshangaa Sana aiseee.. gari linajaza Sana na trafik Hata wachukui hatua... Igeni mikoa ya Arusha na Moshi gari ikiwa level seat it's enough
Hayo magari hayana ubovu wowote. Machine zipo njema kabisa. Usiangalie hizo namba A.Mabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi.
Nimeshangaa sana uhusiani wa single diff na ajali? Wabongo wengi haya mambo hatujui. Tunasafiri na maengine nyuma ya kichuna dar to mbeyaWala haiwezi kuwa sababu,tumekuwa tukisafiri na Single diffs umbali mrefu kwa miaka mingi?
Halafu unamkuta Clueless ndio kimbelembele kujifanya anajua.Nimeshangaa sana uhusiani wa single diff na ajali? Wabongo wengi haya mambo hatujui. Tunasafiri na maengine nyuma ya kichuna dar to mbeya
Bongo huwa tunaenda resi, sometime hatujui kitu ila ndio wajuaji wakuu. Kuta sasa tukibishana kwenye hayo masilaha ya kivita[emoji4][emoji4][emoji4]Halafu unamkuta Clueless ndio kimbelembele kujifanya anajua.
Lipo na la Mwanza baya baya hivi la zamaniiiNi kweli kabisa Aboud mabasi mabovu anayapeleka Mbeya na Tunduma!
RPC yupo,RTO yupo na trafiki wapo.Fukuza hao Ili wengine wastuke,uzembe imezidi.Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde.
===================
Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 Mkoani Songwe wakati likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali za mashuhuda waliopo eneo la tukio zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi.
Ofisa Mmoja wa Kilimanjaro Express amekiri kutokea kwa ajali hiyo lakini hakuwa tayari kuelezea kiundani kwa madai siyo msemaji wa kampuni. Juhudi za kumpata RPC wa Songwe, Janeth Mgomi zinaendelea ili kupata ripoti kamili.
UPDATES;
Watu wanne wamefariki papo hapo huku wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la Kilimanjaro Express lililopindukia korongoni eneo la Senjele wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Rashid Ngonyani amesema ajali hiyo imetokea saa moja asubuhi baada ya dereva wa basi la Kilimanjaro Express kuwa kwenye mwendokasi na kutaka kuyapita magari mengine yaliyokuwa mbele yake.
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amesema majeruhi wote 36 wanaendelea vizuri ambapo kati yao saba wamelazwa Hospitali ya Wilaya ya Mbeya na wengine 28 wakitibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe
View attachment 2149697
View attachment 2149696
View attachment 2149698
View attachment 2149968
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Maumba alimjulia hali miongoni kwa majeruhi wa ajali ya basi kampuni ya Kilimanjaro, Yusuph Ramadhan ambaye yeye na wenzake sita walikimbizwa katika Hospitali Teule ya Ifisi iliyoko mkoani Mbeya. PICHA: Grace Mwakalinga, SONGWE
View attachment 2149979
Ndio maana inatakiwa Rais au IGP afukuze hao watu wa usalama barabarani wa Mkoa wa Songwe.V/ inspector yake pochi tu!
Asilimia kubwa maigizoSasa mbona huwa wanagalagala chini kukagua?
Hivi hao abiria uwa wanalipa nusu nauli? Mtu na akili zako timamu unakaaje kwenye ndoo?Yaani route kutoka sumbawanga to Tunduma Hadi dar mabasi hayana ustaarabu Hata kidogo hii tabia ya kupanga ndoo njiani kuanzia seat ya nyuma Hadi mbele nimeshangaa Sana aiseee.. gari linajaza Sana na trafik Hata wachukui hatua... Igeni mikoa ya Arusha na Moshi gari ikiwa level seat it's enough
Achape Kazi TuMchaga hatakiwi hizo nyanda za juu Kusini. Hiyo njia ya wazee wa ndagu
NakaziaBus engine body wanachonga tuu kua plate nmba A isiwape bichwa eti mbovu
Watu wanne wamefariki papo hapo huku wengine 26 wakijeruhiwa
HapajaelewekaMkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amesema majeruhi wote 36 wanaendelea vizuri
Mungu mkubwa kama kweli wamepona watu hapo!!!Bus la kampuni ya Kilimanjaro limepinduka asububuhi hii mkoani Songwe likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es salaam ambapo taarifa za awali zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi, taarifa kamili zitakujia hivi punde.
===================
Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express limepata ajali kwa kupinduka asubuhi ya leo Machi 14, 2022 Mkoani Songwe wakati likitokea Tunduma kuelekea Jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali za mashuhuda waliopo eneo la tukio zinaeleza ajali hiyo imesababisha watu kadhaa kufariki na uwepo wa majeruhi.
Ofisa Mmoja wa Kilimanjaro Express amekiri kutokea kwa ajali hiyo lakini hakuwa tayari kuelezea kiundani kwa madai siyo msemaji wa kampuni. Juhudi za kumpata RPC wa Songwe, Janeth Mgomi zinaendelea ili kupata ripoti kamili.
UPDATES;
Watu wanne wamefariki papo hapo huku wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la Kilimanjaro Express lililopindukia korongoni eneo la Senjele wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Rashid Ngonyani amesema ajali hiyo imetokea saa moja asubuhi baada ya dereva wa basi la Kilimanjaro Express kuwa kwenye mwendokasi na kutaka kuyapita magari mengine yaliyokuwa mbele yake.
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amesema majeruhi wote 36 wanaendelea vizuri ambapo kati yao saba wamelazwa Hospitali ya Wilaya ya Mbeya na wengine 28 wakitibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe
View attachment 2149697
View attachment 2149696
View attachment 2149698
View attachment 2149968
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Omary Maumba alimjulia hali miongoni kwa majeruhi wa ajali ya basi kampuni ya Kilimanjaro, Yusuph Ramadhan ambaye yeye na wenzake sita walikimbizwa katika Hospitali Teule ya Ifisi iliyoko mkoani Mbeya. PICHA: Grace Mwakalinga, SONGWE
View attachment 2149979
Cku hz tunduma Abood anapeleka basi nzuriMabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi.