Songwe: Basi la Kampuni ya Kilimanjaro Express lapata ajali, watu wanne wafariki dunia

Na hii itachangia kupunguza ajali zisizo na msingi barabaran
 
Ni kweli kabisa Aboud mabasi mabovu anayapeleka Mbeya na Tunduma!
Na nyie mlivowajinga mnapanda hiyo migari mibovu,, yaan unaenda KM zaid 800 unapnda gari namba A la kizaman wakati kuna kampuni nyingi tu zina gari za kisasa!!

Sawa ajali haina kinga ila sio kwa hayo magari mabovu ya kizaman ya KLM,, basi wanazi wanavosifiaga hizo scania za kizaman huwa sielew ni ushabiki au ukumbavu
 
Huna ushahidi wowote acha kuharibu biashara za watu.
Acha kutetea upuuzi kwa kuwa ww ni mkatisha ticket wa hapo KLM,, hiyo kampun magari ni mabovu na ya kizaman.

Gari namba A imechoka,, nashangaa wanaoacha kampun zenye gari za kisasa kama sauli ,new force wanaenda kupanda hizo gonga nyundo za KLM ni ujinga mtupu hata kama ajali haiepukiki au ajali haina kinga ila sio kwa hayo magonga nyundo
 
Hakuna gari pale ,, zile ni gonga nyundo tu.

Mmiliki wa Klm anapaswa kubadilika alete gari nzuri za kisasa na sio hayo magari yenye namba A
 
Mabasi yana namba ABX bado yanapiga long safari sio sawa! Hata Abood ana kamchezo hako; yale ya zamani ndio yanapigishwa long safari; mapya yanaishia hapo Morogoro. Huwa siwaelewi.
Hizi namba niza mwaka 2002-2003
 
Nyanda za juu kusini aina zao za usafiri zinashangaza sana.
 
Huwezi kutumia lugha za kistaarabu kana kwamba hapa Jf wewe pekee ndio mjanja na mjuaji tena mbwatukaji?!!
 
Hivi hao abiria uwa wanalipa nusu nauli? Mtu na akili zako timamu unakaaje kwenye ndoo?
Shida ya Usafiri mkuu.

Kukiwa na option ya mabasi mengi sidhani kama kuna abiria atakubali kukaa kwenye ndoo...
 
Hivi hao abiria uwa wanalipa nusu nauli? Mtu na akili zako timamu unakaaje kwenye ndoo?
Shida ya Usafiri mkuu.

Kukiwa na option ya mabasi mengi sidhani kama kuna abiria atakubali kukaa kwenye ndoo...
 
Yani ni jana tu nimepita hapo gari breki zikazngua...bahati nzuri tu ni kuwa mbele hakukuwa na gari kbsa la cvyo....
 
Unamjua Sauli bwashee?
Sio luxury bus wewe, kuitwa luxury ni tofauti na luxury
Njia ya Dar-mbeya-tunduma - swax hakuna luxury bus hata moja
Sio sauli, New force/Golden deer, Imani plus, tanzanite wala Hao kilimanjaro
Wote ni ordinary bus to semi luxury
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…