Afanye tu ila kura hapatiHapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afanye tu ila kura hapatiHapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.
MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.
Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.
Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?
Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.
Anamuomba msamaha Lissu Kwa aliyomfanyia.JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.
Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??
Mataga Tafuta thamani ya X......
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.
Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??
Mataga Tafuta thamani ya X......
Ametii agizo la Mheshimiwa Tundu Lissu.Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.
MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.
Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.
Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?
Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.
Nilileteeni Silinde, alikuwa CHADEMA kwenye jimbo la Momba, alipokuwa kule CHADEMA alijua uozo uliomo humo akawa kila mara anabembeleza, anasema baba nimechoka niko radhi nipoteze ubunge lakini nihamie CCM hata kama nitakuwa karani, nikamshangaa kijana huyu ambae alikuwa yuko radhi apoteze mishahara na fedha za ubunge kwa ajili ya maslahi ya watu.
Alichaguliwa na wabunge wa CCM kuwakilisha katika bunge la Afrika, kijana mdogo jasiri aliye na upendo wa kweli. Alikuwa agombee Momba, nikamwambia nenda kanisaidie Tunduma kwa sababu ndio pana changamoto nyingi kubwa.
Mkuu uchaguzi wa mwaka huu acha tu, huku niliko wajawazito wameruhusiwa kujifungulia nyumbani alafu kichekesho wakunga wa jadi wamepigwa marufuku, sasa sijui nani atawazalisha huko majumbani?Hakujua haya ndio kayafahamu leo?
Pili hio ilikuwa Tozo ili waongeze kipato au ilikuwa kama fine / kitisho ili wasichelewe kwenda Kliniki hence kumsaidia kiumbe (mtoto) asipate matatizo sababu ya uzembe wa aina yoyote? (sijui sijafanya research ila wakati mwingine tujiulize kwanini walifanya vile kabla)
Umeona eeh?Asante Lissu bila hoja zako tusingefika huku
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.
MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.
Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.
Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?
Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.
Nilileteeni Silinde, alikuwa CHADEMA kwenye jimbo la Momba, alipokuwa kule CHADEMA alijua uozo uliomo humo akawa kila mara anabembeleza, anasema baba nimechoka niko radhi nipoteze ubunge lakini nihamie CCM hata kama nitakuwa karani, nikamshangaa kijana huyu ambae alikuwa yuko radhi apoteze mishahara na fedha za ubunge kwa ajili ya maslahi ya watu.
Alichaguliwa na wabunge wa CCM kuwakilisha katika bunge la Afrika, kijana mdogo jasiri aliye na upendo wa kweli. Alikuwa agombee Momba, nikamwambia nenda kanisaidie Tunduma kwa sababu ndio pana changamoto nyingi kubwa.
Huyu jamaa alipaswa awe anachunga ng’ombe kwao saa hii.Hapo Magufuli amefanya jambo la maana sana
ile ni TUMECCM kwa magu wanakuwa kipofu hawaoniRushwa nyingine ya wazi inafanywa na magufuli kwenye kampeni wazi wazi kabisa NEC mnasemaje?