Uchaguzi 2020 Songwe: Dkt. Magufuli afanya kampeni Tunduma, afuta tozo ya mama kamandoo

Uchaguzi 2020 Songwe: Dkt. Magufuli afanya kampeni Tunduma, afuta tozo ya mama kamandoo

Nasubiria Lissu atoneshe kidonda cha mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu.

Magufuli: mimi bado ni raisi na kuanzia leo wanafunzi wote hawatalipia mikopo yao.

kutekenywa ukatekenyeka
 
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.

MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.

Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.

Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?

Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.


ulimpa wewe mimba?😀😀
 
Jamani hivi hizi ahadi na maamuzi ndani ya kipindi cha kampeni sio rushwa??NEC Njooni msikilize mzee baba mmemkataza Lissu lakini huyu bado hana namna anaona asipofanya hivyo maji yamezidi unga 😀😀
 
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
Anamuomba msamaha Lissu Kwa aliyomfanyia.
 
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......

Wakazi wa Njombe kwa tamaduni yao, mtu wanae muheshimu akipiga goti anaihitaji msaada na akaomba, unatakiwa umpatie bila maswali yeyote, na watampa tuu. Usifikiri alifanya kama zuzu, wanamuona ndio mwenye uhutaji.

Sasa huyu JPM anajua usanii huu. MAELEKEZO YA MANGULA.
 
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.

MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.

Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.

Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?

Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.

Nilileteeni Silinde, alikuwa CHADEMA kwenye jimbo la Momba, alipokuwa kule CHADEMA alijua uozo uliomo humo akawa kila mara anabembeleza, anasema baba nimechoka niko radhi nipoteze ubunge lakini nihamie CCM hata kama nitakuwa karani, nikamshangaa kijana huyu ambae alikuwa yuko radhi apoteze mishahara na fedha za ubunge kwa ajili ya maslahi ya watu.

Alichaguliwa na wabunge wa CCM kuwakilisha katika bunge la Afrika, kijana mdogo jasiri aliye na upendo wa kweli. Alikuwa agombee Momba, nikamwambia nenda kanisaidie Tunduma kwa sababu ndio pana changamoto nyingi kubwa.

Ametii agizo la Mheshimiwa Tundu Lissu.
 
Huyu mzee akumbushwe Tanzania ya Viwanda bado. Ama yeye anajua alishamaliza kutuletea viwanda.
 
Hakujua haya ndio kayafahamu leo?

Pili hio ilikuwa Tozo ili waongeze kipato au ilikuwa kama fine / kitisho ili wasichelewe kwenda Kliniki hence kumsaidia kiumbe (mtoto) asipate matatizo sababu ya uzembe wa aina yoyote? (sijui sijafanya research ila wakati mwingine tujiulize kwanini walifanya vile kabla)
Mkuu uchaguzi wa mwaka huu acha tu, huku niliko wajawazito wameruhusiwa kujifungulia nyumbani alafu kichekesho wakunga wa jadi wamepigwa marufuku, sasa sijui nani atawazalisha huko majumbani?
 
Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni mkoa wa Songwe na sasa yuko Tunduma.

MAGUFULI: Ninafamu kuna kero moja kwa kinamama inaitwa kampeni ya mama kamandoo ambapo wamama wanapochelewa kwenda kliniki wanatozwa 50,000. Naifuta leo moja kwa moja hiyo tozo.

Kwa hiyo pasitokee mtu yoyote kutoka wizara ya afya au mahali popote anawatoza kina mama hawa wajawazito ati kwa sababu wamechelewa kliniki, kumtoza elfu hamsini ni kumuonea mwanamama huyu ambae anahangaika miezi tisa tumboni.

Kwa hio kina mama pateni mimba zenu, nendeni mkajifungue sawasawa. Wewe mama umemuona ni mjamzito, wewe unaenda kumtoza elfu hamsini, ulimpa wewe mimba?

Kamandoo aende shambani akalime au afanye biashara nyingine. Mtu unachelewa kwenda kliniki unatozwa elfu hamsini wakati mikoa mingine hawatozwi. Hili nasema hapana kwa hio marufuku kuanzia leo.

Nilileteeni Silinde, alikuwa CHADEMA kwenye jimbo la Momba, alipokuwa kule CHADEMA alijua uozo uliomo humo akawa kila mara anabembeleza, anasema baba nimechoka niko radhi nipoteze ubunge lakini nihamie CCM hata kama nitakuwa karani, nikamshangaa kijana huyu ambae alikuwa yuko radhi apoteze mishahara na fedha za ubunge kwa ajili ya maslahi ya watu.

Alichaguliwa na wabunge wa CCM kuwakilisha katika bunge la Afrika, kijana mdogo jasiri aliye na upendo wa kweli. Alikuwa agombee Momba, nikamwambia nenda kanisaidie Tunduma kwa sababu ndio pana changamoto nyingi kubwa.


Rushwa nyingine ya wazi inafanywa na magufuli kwenye kampeni wazi wazi kabisa NEC mnasemaje?
 
Alafu kwa nini iwe wakati wa Kampeni.?

Hilo suala hakuliona kabla,hawa wanacheza na akili zetu ni kuwaadhibu tu okt 28.

Mchakamchaka wa Lissu wanaukubali ,na bado kuna kero kibao za kufuta.
 
Kaongea haya akiwa kama MGOMBEA ama RAIS there should be a line
 
Nimemsikia Magu akihoji wananchi wangapi watampa kura Silinde wananchi wamegoma kuitika.
 
Back
Top Bottom