Uchaguzi 2020 Songwe: Dkt. Magufuli afanya kampeni Tunduma, afuta tozo ya mama kamandoo

Jamani hivi hizi ahadi na maamuzi ndani ya kipindi cha kampeni sio rushwa??NEC Njooni msikilize mzee baba mmemkaza Lissu lakini huyu bado hana namna anaona asipofanya hivyo maji yamezidi unga 😀😀

Kila mwasiasa unaemjua ni MSANII.

kuhusu rushwa ni bahati mbaya kiswahili kina upungufu sana wa neno sahihi. kwa kiingereza kwa kuwa yeye ni incumbent President na maamuzi yake ni ya mwisho, anakuwa akitoa inaitwa sleaze.

Sababu yeye kama head of state anaitwa Conforter in chief. na ndio severeignty. ( kwa mkuu wa Nchi ni sio kwa Mkuu wa serikali)

Anatakiwa ku confort raia wake, kwa kipindi hichi sio hairuhusiwe kupenda watu wake, hali hii haipendezi, sasa inapunguzwa makali wanaiita sleaze.
 
Kutisha wananchi kwamba hutawapelekea maendeleo kisa wamechagua wapinzani ni kiburi na dhihaka kwa wananchi. Wananchi tunalipa kodi na kama anataka hivyo na kodi zetu asichukue, atumie michango na mapato ya CCM..
 
Hivi huyu mzee yupo timamu kweli? Yani anasemaje????? Au kachanganyikiwa huyu, yani kuwa na Magorofa aneishajiona kuwa anaweza piga watu Kwa kuwa wamemnyima kura? Khaaaa amedalilika Sana tumuombeee hayuko sawa kichwani
 
Kaongea haya akiwa kama MGOMBEA ama RAIS there should be a line
Katiba mbovu mru anaingia kwenye kampen akiwa bdo ni rais nch za wenzetu chaguz zikifika rais na mawazir wanapunguzwa madaraka na hawaruhusiw kwenda kwenye kampen na vyeo vyao
 
Uongo...mchana kweupe.
 
Kutisha wananchi kwamba hutawapelekea maendeleo kisa wamechagua wapinzani ni kiburi na dhihaka kwa wananchi. Wananchi tunalipa kodi na kama anataka hivyo na kodi zetu asichukue, atumie michango na mapato ya CCM..
Electoral politics/voting meaning: is a set of activities that are associated with making decision for distribution of resources and status.
 
Alikuwa agombee Momba, nikamwambia nenda kanisaidie Tunduma kwa sababu ndio pana changamoto nyingi kubwa!

Si alisema hajamtuma mtu!
 
Maana yake ni nini...?
 
nasubiria lissu atoneshe kidonda cha mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu.

magufuli: mimi bado ni raisi na kuanzia leo wanafunzi wote hawatalipia mikopo yao.

kutekenywa ukatekenyeka
Hahahaaaa ngoja wamguse kunako
 
Siku zote alikuwa hajui amesubiri lisu aseme ndio afute amechelewa sana
 

..anaanza hotuba zake kwa kusema maendeleo hayana vyama.

..halafu anamaliza kwa kusema wananchi wakichagua mpinzani atawanyima miradi ya maendeleo.
 
Watanzania msiwe wajinga.
Miaka mitano aliyokaa madarakani hakujua kwamba kuna hiyo tozo?
Hapo ninapo waona Watanzania wenzangu hatujitambui. Hiyo ni hongo kama ya t shirt na. Kofia.. Halafu akipata kura ina rudi kishkaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…