Sababu nyinyi wapika sumu sio wateuzi!Yeye alikuwa kimya hadi ikatokea, huyu kaanza kuhangaika kabla ya kutangazwa, hana kaba... Hafai.. kuna siku atasema yasiyosemwa
Kiongozi asiye na usiri......Taarifa za ndani Ali Hapi Anaaga kitaa na shambani kuwa mwezi wa 12 yeye ni Naibu Katibu Mkuu CCM
benjamin netanyau harakisha huko Gaza we Jews want to go back home make sure we wanna got enough land.Vllaza wote wanarudi kazini
Notedbenjamin netanyau harakisha huko Gaza we Jews want to go back home make sure we wanna got enough land.
he was removed technically and without fear of contradiction he will be right back in place soon, technically politically speaking....
thanks for addimiiting that he will be right back to the system wherever under whom, and that's politics....Nope, he was removed because he did something that was out of his job description.
It was not fear of contradiction , he crossed the lines he was not suppose to cross and he paid for it.
Of course maybe he will return but under new boss, new game rules, new lines, not that the difference
Asante mkuuNDiyo
Mtajua wenyewe hukoIlikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Mdomo uliponza kichwa.Taarifa za ndani Ali Hapi Anaaga kitaa na shambani kuwa mwezi wa 12 yeye ni Naibu Katibu Mkuu CCM
at=inVisionary? How did he get removed at the first place?
angekuwa Br. angeandika hiviIlikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Mimi si hao unaowadhaniaSababu nyinyi wapika sumu sio wateuzi!
Endeleeni kubonyeza keyboard mpaka mwisho!
Makonda huyo hapo! Mwambiwni Kubenea aendelee kuumia!