Soon, Ally Hapi atakuwa ndani ya mfumo

Soon, Ally Hapi atakuwa ndani ya mfumo

Amefanikiwa kukaaa kimya bila kuwa na matamshi ya kukinzana na mfumo, si ajabu akawa naibu waziri wa kilimoo.... kazi na iendeleee
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.

Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.

Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.

UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-

Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan

Katibu Mkuu: Paul Makonda

Katibu Mwenezi: Ally Hapi

Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.

Onyo!

Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Ramli chonganishi hizo
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni...
Itasaidia wagonjwa au maiti kuacha kushikiliwa kwenye Mahospitali mbalimbali ya Serikali kwa kukosa Pesa ya kulipia gharama za matibabu??
 
😂😂😂😂😂 huyo mama ni mnafiki sana eti baba makonda, chadema walinitoa miguu na mikono sasa sina mikono wala miguu kipindi nasimamka uchaguzi baba nakuomba unisaidie, hakika mbinguni tutafika tukiwa tunatambaa🤣🤣🤣🤣
Nyie maccm Kwa mnavyowatelekeza makada wenu? Mtatujali sie wengine kweli Kwa staili hii? 😁😁
 
Umegonga pale pale, kwamba....
ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu
hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲

Eti, SSH kajiharibia mambo kumrudisha mtu wanaye mtuhumu(bila ya ushahidi) kwa kuwa ni mtiifu!(Loyal).

Mapuuzi haya majamaa na ni mahovyo kabisa.

Na, hao hao, ndio waliokuwa wanatoa sifa kuwa anatumia akili nyingi, au kama nilivyosoma huko juu,
sayansi ya siasa
...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuu

Wacha Ally Hapi arudi mfumoni, na nidhamu nayo irudi.
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.

Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.

Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.

UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-

Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan

Katibu Mkuu: Paul Makonda

Katibu Mwenezi: Ally Hapi

Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.

Onyo!

Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Asiyegusika abakie hapo hapo,wasimwamishe

Huyo mla mtama hana nyota yoyote ile kisiasa

Isingekuwa jina la babake...
 
Umegonga pale pale, kwamba....

hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲

Eti, SSH kajiharibia mambo kumrudisha mtu wanaye mtuhumu(bila ya ushahidi) kwa kuwa ni mtiifu!(Loyal).

Mapuuzi haya majamaa na ni mahovyo kabisa.

Na, hao hao, ndio waliokuwa wanatoa sifa kuwa anatumia akili nyingi, au kama nilivyosoma huko juu,

...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuu

Wacha Ally Hapi arudi mfumoni, na
Umegonga pale pale, kwamba....

hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲

Eti, SSH kajiharibia mambo kumrudisha mtu wanaye mtuhumu(bila ya ushahidi) kwa kuwa ni mtiifu!(Loyal).

Mapuuzi haya majamaa na ni mahovyo kabisa.

Na, hao hao, ndio waliokuwa wanatoa sifa kuwa anatumia akili nyingi, au kama nilivyosoma huko juu,

...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuu

Wacha Ally Hapi arudi mfumoni, na nidhamu nayo irudi.
Hakuna shida na sijaitaja. Siamini Mwenyekiti wetu SSH ameshtuliwa na haya yanayotokea.Aliyajua alijipanga na anajua anachokifanya. Mimi na Suzy tunatofautiana tu kwenye point moja. Wanaopishana kwenye hizo nafasi wote ni wana CCM na haijalishi watakuwa na nafasi gani wana mchango kwenye ushindi wa CCM 2025 and beyond maana mgombea Urais ni mmoja tu.
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.

Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.

Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.

UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-

Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan

Katibu Mkuu: Paul Makonda

Katibu Mwenezi: Ally Hapi

Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.

Onyo!

Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
awe ndani ya mfumo au nje ya mfumo haitusaidii chochote na haitupunguzii chochote. amepambana sana kujifanya mkulima, mara zingine anaimba kuran ili wamuone ni muislam safi, ila doa lake la kiburi na dharau halitakuja kwisha maisha yake yote hadi ampokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.

hata sabaya muda si mrefu atawashangaza. ndio siasa za nchi hii zilivyo, muovu kuongoza watu kama alivyo bashite.
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.

Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.

Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.

UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-

Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan

Katibu Mkuu: Paul Makonda

Katibu Mwenezi: Ally Hapi

Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.

Onyo!

Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Both teams to score. YES
 
Na iwe tu,kwani ilivyokuwa kwa Makonda kuna wanachama wamerudisha kadi? Kazi inaendelea na wanachama wanatimiza wajibu wao, wampende au wasimpende wanabaki kuunganishwa na Chama chao.

Hakuna kiongozi anapendwa na watu wote so tusishane na fulani na fulani. Watakuja na watatoka tu kama wengine.
Maccm yote yana njaa hata yake mazee ya Misaga na yale maiba ndovu yote mezi 2
 
Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.

Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.

Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.

UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-

Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan

Katibu Mkuu: Paul Makonda

Katibu Mwenezi: Ally Hapi

Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.

Onyo!

Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Lengai Ole Sabaya naye atarudi muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom