Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramli chonganishi hizoIlikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Naunga mkono hoja , makonda ni mtu na nusu.Makonda akiwa Katibu Mkuu wa Chama watanyooka 🔥🔥
Itasaidia wagonjwa au maiti kuacha kushikiliwa kwenye Mahospitali mbalimbali ya Serikali kwa kukosa Pesa ya kulipia gharama za matibabu??Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni...
Naunga mkono hoja , makonda ni mtu na nusu.
Nyie maccm Kwa mnavyowatelekeza makada wenu? Mtatujali sie wengine kweli Kwa staili hii? 😁😁😂😂😂😂😂 huyo mama ni mnafiki sana eti baba makonda, chadema walinitoa miguu na mikono sasa sina mikono wala miguu kipindi nasimamka uchaguzi baba nakuomba unisaidie, hakika mbinguni tutafika tukiwa tunatambaa🤣🤣🤣🤣
hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu
...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuusayansi ya siasa
Asiyegusika abakie hapo hapo,wasimwamisheIlikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Wanakaa majukwani, vijana mjiajiri blah blahNA KAZI IENDELEEE
Umegonga pale pale, kwamba....
hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲
Eti, SSH kajiharibia mambo kumrudisha mtu wanaye mtuhumu(bila ya ushahidi) kwa kuwa ni mtiifu!(Loyal).
Mapuuzi haya majamaa na ni mahovyo kabisa.
Na, hao hao, ndio waliokuwa wanatoa sifa kuwa anatumia akili nyingi, au kama nilivyosoma huko juu,
...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuu
Wacha Ally Hapi arudi mfumoni, na
Hakuna shida na sijaitaja. Siamini Mwenyekiti wetu SSH ameshtuliwa na haya yanayotokea.Aliyajua alijipanga na anajua anachokifanya. Mimi na Suzy tunatofautiana tu kwenye point moja. Wanaopishana kwenye hizo nafasi wote ni wana CCM na haijalishi watakuwa na nafasi gani wana mchango kwenye ushindi wa CCM 2025 and beyond maana mgombea Urais ni mmoja tu.Umegonga pale pale, kwamba....
hivi majuzi...niliuona uzi unaodai "wenye nchi" hawajapenda kurudishwa kwa Makonda ulingoni.😳😲
Eti, SSH kajiharibia mambo kumrudisha mtu wanaye mtuhumu(bila ya ushahidi) kwa kuwa ni mtiifu!(Loyal).
Mapuuzi haya majamaa na ni mahovyo kabisa.
Na, hao hao, ndio waliokuwa wanatoa sifa kuwa anatumia akili nyingi, au kama nilivyosoma huko juu,
...sasa shida ipo wapi? wameanza kumgeuka? Wanamtukana SSH ati hajui anachokifanya? Mfyuuuuuuuu
Wacha Ally Hapi arudi mfumoni, na nidhamu nayo irudi.
awe ndani ya mfumo au nje ya mfumo haitusaidii chochote na haitupunguzii chochote. amepambana sana kujifanya mkulima, mara zingine anaimba kuran ili wamuone ni muislam safi, ila doa lake la kiburi na dharau halitakuja kwisha maisha yake yote hadi ampokee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
Both teams to score. YESIlikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.
😃😃😃😃Mbona Mwashambwa hayuko kwa list?
Maccm yote yana njaa hata yake mazee ya Misaga na yale maiba ndovu yote mezi 2Na iwe tu,kwani ilivyokuwa kwa Makonda kuna wanachama wamerudisha kadi? Kazi inaendelea na wanachama wanatimiza wajibu wao, wampende au wasimpende wanabaki kuunganishwa na Chama chao.
Hakuna kiongozi anapendwa na watu wote so tusishane na fulani na fulani. Watakuja na watatoka tu kama wengine.
Lengai Ole Sabaya naye atarudi muda si mrefu.Ilikuwa ni vigumu mno kwa Mwenyekiti kuendelea kuishi na watu wenye kumshauri kwa karibu huku akiendelea kusikia pembeni wakijadili namna sahihi na bora ya kumnyang'anya tonge mdomoni.
Kwa muktadha huo, boss lady ameamua kama mbwai na iwe mbwai na rasmi ameamua awarejeshe kundini wale wote anaodhania watakuwa watiifu kwake.
Tayari faili la bwana mdogo Ally ameliitisha mezani. Na duru zinatabanaisha ni swala la wakati tu bwana mdogo yule atajumuishwa.
UWEZEKANO WA MUUNDO WA UONGOZI WA CCM SIKU CHACHE ZIJAZO:-
Mwenyekiti: Samia Suluhu Hassan
Katibu Mkuu: Paul Makonda
Katibu Mwenezi: Ally Hapi
Nafasi za ngazi zingine zitabaki na watu waliopo.
Onyo!
Yule mpayukaji na mlima MTAMA anatafutiwa angle tu wale kichwa! Asiyegusika ameshalia kwa boss na kumwambia asingependa kufanya naye kazi.