Soon nakuwa mama wa kambo. Nahitaji maombi yenu na ushauri wa maisha haya mapya

Soon nakuwa mama wa kambo. Nahitaji maombi yenu na ushauri wa maisha haya mapya

Dalili mbaya nilizoona kwenye maandishi yako

1.Ukijiona unaanza kujisemesha "ninge" "ange" "tunge"
2.Hapo ulipoandika ulifahamishwa kwamba kuna kakid ka nje dakika chache kabla ya ndoa
3.Kuongelea suala la DNA wakati hujui alipopita/anapopita huyo mume wako...hiyo ni mbinu tu kaitumia mume wako kukuchota akili ,huyo ni mwanae 100%
4.Bond,bond na mtu huwa inatengenezwa haijalishi mmekutana akiwa na umri upi

Kimsingi kama mwanaume kaamua kumleta mwanae hiyo ni dalili nzuri kwako,kakuamini...usivunje uaminifu na upendo uliopo kati yako na mume sababu ya mtoto

Kama una roho mbaya jitahidi upunguze ama kama utaweza uiache

Comment ya chapwa24 pia imenifunza jambo huko mbeleni nikukutana na jambo kama lako
Wanaume kwa fix mmh....eti DNA[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787]



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kujiandaa kisaikolojia kwani unaletewa fisi ufuge? We jilazimishe hakikisha anapata chakula, mavazi, malazi na elimu kama wanao. JILAZIMISHE maana kumpenda mtu si uamuzi. Hatuchagui kupenda. Si lazima umpende, ila mahitaji yake ni lazima.
Eti unaletewa fisi ufuge, mbavu zangu mie lol[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanapima tabia yako wamejiridhisha hawana shaka nayo thus walichelewa.Mpokee mwa moyo mweupe show love usimbague hakuna ajuae kesho yake nani atakulea

Mtendee wema kesho yako uijui hata watoto wako wanaweza kuja lelewa na mama wa kambo ya kesho atuyyajui kama ambavyo Sabaya na bashite awakutegemea kuwa raia wa kawaida leo.
Kweli hakuna aijuae kesho yake. Hapo ulipowataja S na B ni mfano halisi ya namna watu hatujui kesho yetu
 
Ubinafsi sina kwa kweli. Ningekuwa nao nisingekubali hata aje. Mama wa mtoto wala hayuko kwenye picha na hata malezi mtoto kalelewa na grandparents kuanzia mapema kabisa less than 3 years old.
Sasa hivi huyo mtoto ana miaka mingapi? Kike au kiume?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Uchoyo tu unakusumbua huna lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana anaweza kuwa na point
Malezi yanatofautiana sana, kwa mtoto aliyelelewa bila wazazi anaweza kuwa na vijitabia vya tofauti tofauti

Binafsi najitahidi sana kulea wanangu kwa mfumo wangu, huwa napata tabu nikipata ugeni wa watoto wengine wakija lets say holiday wakachanganyikana na wanangu, huwezi ukawafokea wanapokosea , na punde wakirudi makwao unakuta wanao wamesha adopt vijitabia vingi vipya kutoka kwa wageni , hasa kusema uongo.
 
Ole wako uanze kutesa mtoto wa mwenzako .UJUE na wako atateswa jua kabisa lkn ukamlea kwa roho safi bila UBAGUZIIII basi jua Mungu yuko pamoja na weye jaribu kuwa MUADILIFUUUUUUU.
 
Mtoto ni wake yet mimi tena nimsisitizie aje likizo! naamini ilikuwa ni jukumu lake na hakuwahi kufanya hivyo. Yaan yeye alitakiwa awe mstari wa mbele. Mtoto sio wangu halafu ningeanzaje kusisitiza? Alitakiwa ajiongeze kwahiyo sidhani kama ilikuwa kosa langu. Mwanzoni kabisa baada ya kuniambia kuna mtoto niliimwambia amlete but akasema hataishi na sisi. Sikuona sababu ya kumlazimisha. Sasa baada ya miaka 10+ ndio anataka amlete na mimi sina shida na hilo. Nilitaka tu kupata mawili matatu kutoka hapa jamvini. Si unajua penye wengi pana mengi. Maisha ni funzo na kujifunza ni kitu endelevu
Wa kike ana 10+ years? Alikuwa analelewa na nani be4 kuja hapo kwako?

Kama katoka kwa mama ake jiandae[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Sema wanawake saa zngne mnaakili ndogo sana mm nililelewa Na mama wa kambo wawili tofauti huyo wa kwanza alinilea kama mwanae baadae akaachana na mzee akaja huyu funga kazi roho mbaya chuki na alipandikiza sumu hadi mshua akawa hanipendi kabsa kabsa lakini sikuhizi japokua sina maisha mazuri kvle naona anajifanya kunipenda kumbe unafki tu shenz kabsa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] babaako ndo shida kwanini hatulii na KE mmoja?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hapana anaweza kuwa na point
Malezi yanatofautiana sana, kwa mtoto aliyelelewa bila wazazi anaweza kuwa na vijitabia vya tofauti tofauti

Binafsi najitahidi sana kulea wanangu kwa mfumo wangu, huwa napata tabu nikipata ugeni wa watoto wengine wakija lets say holiday wakachanganyikana na wanangu, huwezi ukawafokea wanapokosea , na punde wakirudi makwao unakuta wanao wamesha adopt vijitabia vingi vipya kutoka kwa wageni , hasa kusema uongo.
Nashukuru umenielewa. Kila mtu ana parenting style yake. Kuna watoto wengine aiseee unakuta wakorofi balaa.
 
Mkeo anakosea sana; ila wewe usitafute justification ya kulala na mzazi mwenzio kisa mawasiliano ya mtoto. Kama bado mnatakana, hata huyo mtoto akija kuishi na mkeo bado mtaendelea kupasha kiporo na huyo baby momma wako. Na kwa nini mliachana kama bado mnatakana? Kwa nini mkeo anamkataa mtoto, subiri agundue mnapasha kiporo, utaenjoy show
Nimechoka haswaa...[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huyu kaka
 
Wa kike ana 10+ years? Alikuwa analelewa na nani be4 kuja hapo kwako?

Kama katoka kwa mama ake jiandae[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hajatoka kwa mama yake. Kwa mama yake alitoka akiwa na 2 and a half. Mama yake hana muda nae kabisa na wala hajishughulishi kwa lolote hata kwenda kumsalimia. Ni wa kike
 
Weee mlee km hayo ya bond ni wazungu sisi tunaangalia anakula anavaa nguo safi anaenda shule hayo ndiyo mahitaji muhimu sana kwa huyo dogo.
 
Hajatoka kwa mama yake. Kwa mama yake alitoka akiwa na 2 and a half. Mama yake hana muda nae kabisa na wala hajishughulishi kwa lolote hata kwenda kumsalimia. Ni wa kike
Mama yake ameolewa??

Kama hajatoka kwa mama ake utaishi nae vizuri kabisa

Wee cha kwanza muoneshe upendo tu, atacopy fastaa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom