Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Huyo huyoConnection ni nini? You are not suggesting,no,you are not suggesting something terrible.are you?
Lakini unaposema Sophia Mjema,who are we talking about? Yule aliyekuwa DC Ilala?
RC MbeyaAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla .
Kila siku kumsifia mama na Lisauti lakeNaona wameruhusu mikutano ya siasa wanabadilisha na Katibu Mwenezi, wameona watafute mtu wa kuendana na kasi ya upinzani, waachane na mentality za kichawa..
Shaka alikuwa "mweupe" sana.
Kimoja atatemaVyeo viwili viwili ilihali kuna vijana wengi mtaani wenye sifa, wanaambiwa wajiajiri!! Watafute ukwasi!
I see!
Daah mambuzi yanazidi kukosa mvuto😅😅Ana jipya? Huyu Mjema Hana jipya
Aiseee wacha tuweke bundleHuyu dada watu Wana video zake nyingi za CONNECTION...... kuanzia kesho zitakuwa vinavujishwa moja baada ya nyingine
Huko CCM ni kama wamevurugana baada ya kujua sasa yanayokwenda kutokea ni balaa la gharika ya kisiasa. Walikuwa wanapambana na bondia aliyefungwa miguu sasa kakata kamba hivyo Ata fly like a butterfly and sting like a bee! Ni kipigo tuu. Na kapiteni anatua 25/1Ana jipya? Huyu Mjema Hana jipya
Lile tutufe? Siasa za sasa za kisomi haziwezi yule!Bulembo alistahili
Ona hiiHii ni tetesi till habari rasmi itakapotangazwa na credible source!
Na kama ni hivyo....
CCM watakuwa wameingia choo cha kike,sababu huyo Sophia mjema alikwisha prove failure kwenye teuzi ile ya kwanza.
Hawezi kuendana na kasi inayokuka ya siasa za majukwaani kwenye uhuru wa vyama vyote.
Labda Samia anataka taifa hili liwe la "KE" territory na inayoenda kuangukia Pua.
Na Vipi KM??Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
Oyaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ama kweli habari za tajiri utazipata kwa masikini
Hongera Sana Mohamed Said kwa teuzi.Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
Yule kwanza nshapi.......aHata Sophia hamna kitu , huyu hawezi kupangua Spana za Chadema
Sijapenda kabisa Kwa Shaka kutolewaAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar
Ndio ni shakaNani ametangaza hii taarifa😂😂😂😂Shaka Hamidu au Nani?
Anaweza kupewa nafasi ya ukuu wa mkoa katika mabadiliko ya wakuu wa mikoa na wakuu wa Wilaya yanayotarajiwa kutangazwa hivi karibuni na watakaonufa nazo watendaji ndani ya CCMAnachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla .
Anachukua nafasi ya Shaka Hamdu
Bado haijafahamika kama Hamdu Shaka atapangiwa majukumu mengine au ndio Kabwagwa jumla.
===
Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kimemteua Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Sophia Mjema kuchukua ya Shaka Hamdu Shaka
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Anamringi Macha ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, Mohamed Said Mohamed Dimwa ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar