TANZIA Sophia Nyerere, Mjukuu wa Baba wa Taifa afariki Dunia

Nimekubali nimekubali mkuu... Gitaa analipiga vema kabisa.. mpaka moyo unashangilia
 
Uongo wangu nini maana case za wengi ku survive huwa ndogo hata kwa ndugu yangu ilitokea baada ya kuwekwa humo na hakutoka salama hata kwa hawa wa covid asilinia kubwa tu
Ukiwekewa oksijeni tayari hali ni mbaya. KWa hiyo kufa si sababu ya kuwekewa oksijeni bali oksijeni waliyokuwekea imeshindwa kuku rescue.
 
Wengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondoka
Waliokupeleka shule waliuza n'gombe kupeleka ng'ombe ingine shule. Anayewekewa oksijeni tayari ana hali mbaya, kwa maana level ya oksijeni ipo chini. Na level ya oksijeni haipimwi kwa macho kenge wewe😂
 
Yaani Huyu ndio angalau alikua anainuka inuka dah...So sad...Nyerere kweli moto hauzai moto.
 

RIP

Mzena ?? Hivi kina yakhe wanafika Mzena au Sir Name kwanza?

I bet, angekuwapo babu yake asinge ukubali huu utopolo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…