Watu wa systemShangazi yake nae Rose Nyerere alifia hapo Mzena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa systemShangazi yake nae Rose Nyerere alifia hapo Mzena.
Aliianzisha Babu yake huyo huyo kwa ajili ya watu maaalumuRIP
Mzena ?? Hivi kina yakhe wanafika Mzena au Sir Name kwanza?
I bet, angekuwapo babu yake asinge ukubali huu utopolo.
Si kweli.Hii mzena inaua sana, madaktari wa pale inabidi wachunguzwe kama wana kidhi vigezo vya kuhudumu hapo.
Yakhe ni nani ?
Aliianzisha Babu yake huyo huyo kwa ajili ya watu maaalumu
Ukishakuwa kwenye oksigen ni kudra za mwenyezi Mungu ku survive
we mwana fala sana 😆 😆 😆 😆Katoto kazuri, mchawi pua tu.
Pumzika kwa amani mrembo mchumba.
Usikilize huo Wimbo wa 'Inde Monie' Mkuu kisha lisikilize hilo Solo Gitaa la Fundi Mwenyewe 'Dally Kimoko' lilivyo tamu ambapo linaweza Kukufanya hata ukiwa na Mwanamke / Mwanaume Kitandani ukasahau Kutumia 'Condom' na ukasababisha Maturubai ya Maombolezo yawekwe katika Familia mbalimbali nchini Tanzania.
kweli kila kitu kipo poa..mchawi pua tu.....punzika kwa amani cheupe[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Gone too soon my friend. Pumzika KWA amani Sophia NyerereView attachment 1871648
Exactly..kama mama Maria NyerereAnafanana na bibi yake.
Mie mwenyewe sielewewagi kwa kweli ukiskia mgonjwa wenu kawekewa hyo ni kujiandaa na loloteDuh hivi hii imekaaji hii kitaalam maana mie nilidhani ukiwekewa ndio nafuu yako
Maana nimeona asilimia kubwa wakiwekewa hawatoboi duh Mwenyezi Mungu atuhurumie aisee maana ishakuwa tatizoMie mwenyewe sielewewagi kwa kweli ukiskia mgonjwa wenu kawekewa hyo ni kujiandaa na lolote
Ninao wazee wangu mwezi huu wa saba wameokolewa na hizo oxygen, mmoja ana 85 mwingine 65 na anaishi na VVU, isingekuwa hivyo tungewazikaMie mwenyewe sielewewagi kwa kweli ukiskia mgonjwa wenu kawekewa hyo ni kujiandaa na lolote
Ninao wazee wangu mwezi huu wa saba wameokolewa na hizo oxygen, mmoja ana 85 mwingine 65 na anaishi na VVU, isingekuwa hivyo tungewazika
KaliPisi
I think you got her wrong! Siyo kwamba oxygen ndiyo inaua bali oxygen inaashiria mgonjwa tayari yuko kwenye critical point hivyo kuna uwezekano asipone.Uongo huo unafanya ndugu walazimishe madaktari kutokuwapa wagonjwa wao oxygen. Eti oxygen inaua... Ni UONGO. Oxygen kwa kiwango anachopewa mgonjwa hospitali hawezi kuua.
I think you got her wrong! Siyo kwamba oxygen ndiyo inaua bali oxygen inaashiria mgonjwa tayari yuko kwenye critical point hivyo kuna uwezekano asipone.
We jamaa umenichekesha sanaWaliokupeleka shule waliuza n'gombe kupeleka ng'ombe ingine shule. Anayewekewa oksijeni tayari ana hali mbaya, kwa maana level ya oksijeni ipo chini. Na level ya oksijeni haipimwi kwa macho kenge wewe[emoji23]