Hiz akili zingine duuuh...eeeh Mungu tusaidie watanzania kufikiriHapa ndio unafiki wa msajili unakapoonekana,kweli mnafiki hajifichi,tuone anayoyafanya kwa cuf,atayafanya kwa ccm,kama Sophia akienda kulalamika kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiz akili zingine duuuh...eeeh Mungu tusaidie watanzania kufikiriHapa ndio unafiki wa msajili unakapoonekana,kweli mnafiki hajifichi,tuone anayoyafanya kwa cuf,atayafanya kwa ccm,kama Sophia akienda kulalamika kwake.
unadhani kwa nini akina Nchimbi hawakufukuzwa uanachama? Sophia simba mpaka leo ni mtiifu kwa Lowasa na bado anampinga Rais lakin Nchimbi alijirekebishawewe nawe mzigo!
unajua Sophia alipomuimbia Lowasa ilikuwa kabla EL hajahama CCM?
Unajua kuwa mwenyekiti wa wakati huo alitaka kuwaburuza wajumbe na kumuweka mgombea wake bila ya kujali utashi wa wanachama wote? je ni dhambi kumpinga mwenyekiti pale unapohisi amekosea?
Hebu wewe tufafanulie unachokiita usaliti toka kwa SOPHIA SIMBA ni kipi?
kwani mtu aruhusiwi kumpinga raisi!unadhani kwa nini akina Nchimbi hawakufukuzwa uanachama? Sophia simba mpaka leo ni mtiifu kwa Lowasa na bado anampinga Rais lakin Nchimbi alijirekebisha
mimi itabidi tu nikae kimya...kama wanachama wenzangu wanafukuzwa ovyo hivi mimi nitaponea wapi? tatizo mwenyekiti wetu hashauriki na wala hapingiki. kuwafukuza wanachama wenye nguvu kama sofia simba kutakipasua chama chetu.
Una mbwembwe wee jamaa.
Unajianzishia uzi halafu unajisifia mwenyewe.
Kama CCM haikufa pale alipoondoka Nyerere,alipoondoka mwanachama mwenye kadi namba 5 ambae ni Kingunge,akaondoka mzee mzima LOWASSA!!na bado chama hakikufa!basi CCM haitokufa kwa kufagia wanachama wasaliti na wanafiki kama Sophia na wenzie kina Madabida!!Mageuzi haya yasiposimamiwa vizuri yatakiua chama na kukuzika rasmi ...
ni nani ndani ya CHADEMA anaempinga MBOWE? hebu nitajie hata mmoja mkuu kama kupingwa ni kawaida sana.....kwani mtu aruhusiwi kumpinga raisi!
He is not perfect, sio yeye tu, wapo ccm wengi wanaompinga labda wanaona hawapi tumaini walitakalo, ni insecurity tu inayowasumbua otherwise kupingwa katika siasa ni jambo la kawaida sana!
Madabida akithubutu kwenda CDM ajue kesi ya ARV's feki itapamba moto,TRA watamwangukia kama mwewe,na atanyang'anywa kiwanda cha madawa Arusha
sawasawa ni muda wetu vijana na sisi tushike madaraka ndani ya chama akina Sophia na unafiki wao waende kwa bosi wao wa CHADEMAKama CCM haikufa pale alipoondoka Nyerere,alipoondoka mwanachama mwenye kadi namba 5 ambae ni Kingunge,akaondoka mzee mzima LOWASSA!!na bado chama hakikufa!basi CCM haitokufa kwa kufagia wanachama wasaliti na wanafiki kama Sophia na wenzie kina Madabida!!
Waende!!Vijana tulikosa nafasi ndani ya CCM kwa ajili ya watu kama hawa kung'ang'ania madaraka..
Wacha watoke nasie tuingie!!
Kwani mmeanza kupokea wasaliti?
Asee hata Mimi simuelewi huyu jamaa!hivi huyu polepole ni mzee au kijana