Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Soseji zapigwa marufuku nchini Korea Kaskazini!

Sawa lakini inaongeza huo upatikanaji.

Kama umesoma hio report ya Who kila watu 6 wanaokufa mmoja anakufa na Kansa,

Na ukiangalia rate ya Kansa Nchi zinazokula processed food wanakufa zaidi na Kansa kuliko nchi masikini, sio coincidence mkuu.
Correlation is not causation

Ikiwa nchi wanazolima ngano kwa wingi au wanaokula sana kitimoto zina rate kubwa ya kansa hivyo vitu ndivyo vitakuwa vinasababisha kansa?

Umewahi kufuatilia ukajua nchi zenye rate kubwa ya kansa ni nchi zenye wazee zaidi, zenye vinu vingi vya nuclear, zenye watu wengi wasiofanya kazi za mashambani, zenye hospitali bora n.k??
 
Correlation is not causation

Ikiwa nchi wanazolima ngano kwa wingi au wanaokula sana kitimoto zina rate kubwa ya kansa hivyo vitu ndivyo vitakuwa vinasababisha kansa?

Umewahi kufuatilia ukajua nchi zenye rate kubwa ya kansa ni nchi zenye wazee zaidi, zenye vinu vingi vya nuclear, zenye watu wengi wasiofanya kazi za mashambani, zenye hospitali bora n.k??
Hicho nimetoa kama kibwagizo, comment yangu nyengine ipo juu ina utafiti ambao upo backed na Who,

Utafiti mwengine huu nao nakuekea huko huko WHO


Issue ipo wazi hii na kuna tafiti za kutosha tu, ni kujitoa tu ufahamu
 
Sipingi takwimu zako ila fahamu huku watu wengi bado hawapimi wakiumwa mpaka wanafariki

Mfano nchi kama india watu billion 1.5 kuna umaskini wa kutisha kuna watu wengi sana wanaumwa hata hawaendi hospital imagine tu choo tu ni changamoto

Mimi ninandugu yangu aliumwa mpaka dakika ya mwisho aligoma kwenda hospitalini
Sawa, ila hao wanaopima si tayari ni sample ya kutosha? Tafiti zote hutumia sample na sample ikiwa kubwa inatosha kabisa kufanyia Research

Mfano Tanzania tupo milioni 60, wanokwenda hospital assume ni Milioni 10 na wasiokwenda ni Milioni 50, hao milioni 10 ni bonge la sample tayari.
 
Sawa, ila hao wanaopima si tayari ni sample ya kutosha? Tafiti zote hutumia sample na sample ikiwa kubwa inatosha kabisa kufanyia Research

Mfano Tanzania tupo milioni 60, wanokwenda hospital assume ni Milioni 10 na wasiokwenda ni Milioni 50, hao milioni 10 ni bonge la sample tayari.
Hospitali ngapi Tanzania kansa inaweza kugundulika??

Marekani ina hospitali zaidi ya 1,000 kwa ajili ya huduma za cancer.
 
Hospitali ngapi Tanzania kansa inaweza kugundulika??

Marekani ina hospitali zaidi ya 1,000 kwa ajili ya huduma za cancer.
Hata tano hazifiki kwa population ya million 65+

Tukuenda kiuhalisia utagundua wanaoumwaga cancer Tanzania idadi yao haijatofautiana sana na marekani

Watu wengi ambacho hawajui ni cancer ni ugonjwa ambao upogi tokea zaman ni basi tu hakukua na vipimo zamani hizo ila ulikuwepo sana
 
Hospitali ngapi Tanzania kansa inaweza kugundulika??

Marekani ina hospitali zaidi ya 1,000 kwa ajili ya huduma za cancer.
Unaelewa maana ya sample boss, hao hao wanaokwenda Aga Khan na Seifee wanatosha kutuwakilisha nchi nzima,
 
Unaelewa maana ya sample boss, hao hao wanaokwenda Aga Khan na Seifee wanatosha kutuwakilisha nchi nzima,
Hawatoshi, kwanza Agha Khan na Saifee ni hospitali za matajiri.
 
Huyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.

Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Wajamaa wanafanya hayo Ili kulinda madaraka yao tu
 
Ni ngumu sana. Kasambaza vipenyo kila mahali, na kahakikisha hakuna mawasiliano kati ya raia wa Korea Kaskazini na watu wa nje wa taifa hilo na raia wanamezeshwa propoganda za kina Kim tangu wanaanza shule za vidudu mpaka chuo. Kuna hadi Wakorea wanaoamini wakina Kim ni miungu!
Bora kusema hujui kuliko kuandika story za kukopa mtandani kama ndio ukweli halisi au umefika kushuhudia haya.
 
Hawatoshi, kwanza Agha Khan na Saifee ni hospitali za matajiri.
Kuna Muhimbili, Ocean Road, Kcmc, etc kote huko kuna centre za Cancer, watu wanaohudumiwa kwa mwaka ni malaki ya watu, as long as una sample kubwa inatosha kabisa kupata data.
 
Ukiachana na siasa soseji sio nzuri kwakuwa zinachochea kensa ya utumbo.
 
Al Shabaab walipiga mrufuku kutengeneza na kuuza sambusa in Somalia, walisema vile Sambusa zimekaa pembetatu ni kama Utatu Mtakatifu ambayo ni kinyume cha imani yao
 
Back
Top Bottom