Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Nenda ubalozi wa USA waloge wakupe green card lotteryWakinga uchawi wetu hauna limits, mpk UK unafika πΉπΉ
Hiyo mbona tushafanya sana, wakinga ni next level πΉπΉπΉNenda ubalozi wa USA waloge wakupe green card lottery
Sio Countrywide tena?πHiyo mbona tushafanya sana, wakinga ni next level πΉπΉπΉ
Ss hivi sisi ni Worldwide bro π€£
Mmmh! Hapo mi naona dish limeyumba kidogo. Wananchi waliokuweka madarakani unapata wapi ujasiri wa kuwatesa?Huyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.
Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Mxieeeeww πΉSio Countrywide tena?π
Uamuzi wa kuliua ni mwepesi sana ila kimbembe kipo kwenye utekelezaji.Si waliue, kuna watu wanafanya wenzao waishi kwa tabu sana hapa duniani
Ndiyo. Kama ilivyo kwa kile chamaHivi kumuua imeshindikana?
Mke wangu, nilisema nitakufuata kila uendapo. The love of my life. Sina pesa ya kukupa. The true love is the only thing I can offer Mlalahoi mimi..Ndio bro
Hata mkewe kashindwa? Mbona kero hilo dubwashaUamuzi wa kuliua ni mwepesi sana ila kimbembe kipo kwenye utekelezaji.
Hivi kwani ana mke huyo mwamba?Hata mkewe kashindwa? Mbona kero hilo dubwasha
πππSi waliue, kuna watu wanafanya wenzao waishi kwa tabu sana hapa duniani
Kasome taarifa za warusi walioko kursk wanavyolalamika kuhusu north korea wanajilia mavitu ya hovyoKinyonga haliki,ukila unatetemeka balaa
Huu ni uongoKinyonga haliki,ukila unatetemeka balaa
JaribuHuu ni uongo
Mwanajeshi vitani halo hovyo,hao wapo chini ya jeshi la urusiKasome taarifa za warusi walioko kursk wanavyolalamika kuhusu north korea wanajilia mavitu ya hovyo
Si wahenga walisemaga "ukienda kuishi Roma, ishi kama wanavyoishi Waroma"Mwanajeshi vitani halo hovyo,hao wapo chini ya jeshi la urusi
Bro una hamu??Mke wangu, nilisema nitakufuata kila uendapo. The love of my life. Sina pesa ya kukupa. The true love is the only thing I can offer Mlalahoi mimi..
Msosi toka jeshi la urusiSi wahenga walisemaga "ukienda kuishi Roma, ishi kama wanavyoishi Waroma"
Manake; kama Warusi wanakula hiyo kitu, we Mkorea ni nani hutaki kula?
Subiri wataleta kutoka kwa kiduku.Msosi toka jeshi la urusi
Sina Pesa ya kukupa na umasikini wangu, true love is the only thing i can to you my love πBro una hamu??